Mie nilitoa wazo na kuwatumia tigo na airtel. Kuhusu kuwa na akauti ya vikundibadala ya kutegemea bank tu naona nao wamelifanyia baada ya miaka 6 kupita. Ni matumaini yangu alosoma email ndo kageuza wazo likawa lake.
Kama upo na ujuzi huo naomba tuwasiliane ili tuweze kutengeneza kitu. Hii ikiwa na maana kwamba tunaanzisha ofisi kwa ajili ya kuendesha shughuli hiyo iweze kutupatia angalau kipato.
Naamini tutatoboa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.