Mimi nasema ivyo na evidence ndomana nasema ivyo sikukatishi Tama ila kwenye ukwel tunaambizana tusubili watu walio bakia 1000 kwa serikal yasaiz itangaze Jambo alafu lisiwe limetimia never ever majina yameshatoka ukiona wew bado ujue umepigwa panga focus kivipi utapambana na chuo sio lazima...
Watu walisha pata toka jana uko naona watu mnalalamika bodi ya mkopo wako slow tayar mda Sana Kama bado ujapata ujue panga limepita naona watu mnalalamika Sana tusubili watu 1000 walio bakia
Relax wakuu mkopo ni Kama bahati ukiwaza sna utashindwa kufanya Mambo ya msingi take easy nakumbuka mwaka jana nilkua nawaza Sana alafu nikakosa hadi nikajihisi naumwa chukulia kawaida mwachie mungu kwamba ukiwaza Sana ndo utapata
Kila Jambo linawakatu wake Mimi mwenye mwka juzi nilikosa kila kitu kisa avn nilipoteza hela nyingi sna
Lakini mwaka unaokuja nikipata kila kitu nacho mshukul mungu
Kwaio bro wait mwakana uombe Tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.