Ni kweli,mimi nilikuwa na minazi ikitoa maua yanadondoka tuu,kuna jamaa mmoja akaniambia nitafute msumari wa boti,hiyo misumari ni mirefu sana kweli nilipigilia na nishakula sana nazi mpaka sasa.
Hapo kinachofanyika ni hiki,huyo singo madha ndio anahitaji ndoa na sio wewe,yaani siri ya kuhitaji kitu ipo hivi,kkama mvuvi anavyohitaji samaki,basi mvuvi anapaswa kujua samaki nahitaji nini,na jibu ni kwamba samaki anahitaji chambo,hivyo unapaswa uweke chambo kwenye ndoano ili samaki aje...
Ukitaka kuvuta bangi kaka uwe na hela ya kula,maana inakawaida ya kuleta njaa sana,pia uwe mtu wa kupenda vitu vitamu vitamu kama kashata visheti ubuyu,bila kusahau maji na majuisi usikose inakawaida ya kukausha maji mwilini,na pia kumbuka ukivuta bangi kwa nongwa zinakasumba ya...
Haya mambo yule mchungaji aliyetabiri kifo cha lowasa alitabiri pia akisema slip way,kitambaa cheupe,uwanja wa fisi na liver side anaona kuna majanga yatatokea,juzi liverside kumeungua,haya leo kitambaa duh.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.