Recent content by mchajikobe

  1. M

    KWELI Mti wa matunda ukiwa unadondosha maua au matunda mapema, ukiupigilia msumari kwenye shina unaacha kudondosha

    Ni kweli,mimi nilikuwa na minazi ikitoa maua yanadondoka tuu,kuna jamaa mmoja akaniambia nitafute msumari wa boti,hiyo misumari ni mirefu sana kweli nilipigilia na nishakula sana nazi mpaka sasa.
  2. M

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    Hapo kinachofanyika ni hiki,huyo singo madha ndio anahitaji ndoa na sio wewe,yaani siri ya kuhitaji kitu ipo hivi,kkama mvuvi anavyohitaji samaki,basi mvuvi anapaswa kujua samaki nahitaji nini,na jibu ni kwamba samaki anahitaji chambo,hivyo unapaswa uweke chambo kwenye ndoano ili samaki aje...
  3. M

    Huenda Christina Shusho amechanganyikiwa au amelogwa?

    Ubinafsi unawamaliza wanawake wengi sana.
  4. M

    Napenda hili litokee. Je, Yanga mtakuwa upande gani?

    Kwani mamelodi kawakosea nini jameni?
  5. M

    Hivi kuvuta bangi Kuna madhara Gani?

    Ukitaka kuvuta bangi kaka uwe na hela ya kula,maana inakawaida ya kuleta njaa sana,pia uwe mtu wa kupenda vitu vitamu vitamu kama kashata visheti ubuyu,bila kusahau maji na majuisi usikose inakawaida ya kukausha maji mwilini,na pia kumbuka ukivuta bangi kwa nongwa zinakasumba ya...
  6. M

    Ni wakati sasa Afrika turudi kwenye dini zetu za asili

    Umeongea ukweli mwingi sana ndio maana kule kwetu uchagani sasa hivi kanisa linapiga vita sana matambiko sababu kule wengi yamewasaidia.
  7. M

    Hii ndio Whatsapp bot na hizi ni features zake

    Dah mimi nilipigwq ban february
  8. M

    Hii ndio Whatsapp bot na hizi ni features zake

    Mimi nilikuwa natumia whatsapp gb naona imefutwa kabisa siwezi tena kui access
  9. M

    Nifanyeje ili kutuliza akili na roho kumuacha huyu dada isiwepo?

    Subiri muda ufike utanuwa kama utamuacha au utaendelea naye,muda ndio mshauri wa kweli.
  10. M

    UPDATE: Vifo vya Ajali Ngaramtoni vyafikia 25

    Daah balaa mno,poleni wafiwa na majeruhi wapate afueni.
  11. M

    Baa ya Kitambaa Cheupe Tabata inaungua moto

    Haya mambo yule mchungaji aliyetabiri kifo cha lowasa alitabiri pia akisema slip way,kitambaa cheupe,uwanja wa fisi na liver side anaona kuna majanga yatatokea,juzi liverside kumeungua,haya leo kitambaa duh.
  12. M

    Nimekuwa mtu wa hasira hata kwa watu wangu wa karibu

    Mmmh ngoja nikimbie kabla hujagombana na mimi bureee.
Back
Top Bottom