Kwamtindo huu huwezi ipanua biashara,maana halisi ya biashara ni kuiacha pesa ikuingizie pesa sio wewe kuweka hela alafu bado unalazimika kukaa kwenye biashara
Hapa changamoto iliyopo ni kwamba wanaweza waka scan hiyo barcode ya wi fi then wakawa wanatumia tuu bure kwa kuunganishana,nadhani kwanza tungejuwa namna ya kuzuia watu ku scan then tungefanya hii biashara kwa usalama zaidi
Bro utuambie ukweli kwamba hizo windows siyo genuine ni cracked katika dunia hii hakuna miujiza ya kupata windows genuine kwa elfu ishirini,tuambie ni pirated windows ambazo umezi activate
Ieleweke kuwa wanaosema tunaamani wanajidanganya,duniani sio sehemu ya amani,kila sekunde na dakika tunayoishi hapa duniani imejawa na hatari na mashaka,hakuna usafiri wala mahali ambapo ni salama kwenye hii dunia,hatari yoyote inaweza kutokea popote na muda wowote.
Kama goli tuliambiwa ni la mama,pesa wanazokopeshwa tunaambiwa pesa za mama,kila kitu tunaambiwa cha mama,sasa hili deni inakuwaje la taifa na sio la mama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.