Recent content by Mchagah

  1. Mchagah

    Mrejesho kwa ambao waliojaribu kimasikhara ikashindikana na waliokwepa kimasikhara

    Oyaaa Visa vimeisha au😂😂😂🔥🔥🔥 leteni Visa wanangu..., Vya kwangu vipo katikati huko
  2. Mchagah

    Utalii Kanda ya Kaskazini

    Safari inaanzia Moshi Mjini kuelekea Arusha
  3. Mchagah

    Utalii Kanda ya Kaskazini

    Trip Mkuu🤗, Kupunguza Stress za Mitikasi ya Town
  4. Mchagah

    Utalii Kanda ya Kaskazini

    Chakula ni kujitegemea Mkuu
  5. Mchagah

    Utalii Kanda ya Kaskazini

    Kwa wale Wapenzi wa Safari walioko Kaskazini Twendeni tukapunguze stress za Ugumu wa Maisha🤗😋
  6. Mchagah

    Hukumu ya "Waliotumwa na Afande" kutolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024

    Mwenye updates zozote za hukumu atupatie sisi watu wa Kandahimba
  7. Mchagah

    Special Thread: Job Opportunities at ITM Tanzania Ltd

    Mbn kama hii thread imekufa hivi...., mwaka jana haijatoka kazi hata moja
  8. Mchagah

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:27 bado tunakula ngoma mdogo mdogo mwaka utimize masaa 6
  9. Mchagah

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nilivyoona notification ya INSIDER MAN nikajua mwendelezo
  10. Mchagah

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Orange huwa siikubali kabisa sjui kwa nini......., anyway kwa sasa nishaanza kujiskia poa tayari kwa mapambano ya jioni...., sema mpaka sasa sjui ninywe nini maana nataka kesho niamke mzima sababu nina kazi muhimu ya kufanya
  11. Mchagah

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Sawa Mkuu ngoja niichukue hapa
  12. Mchagah

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Aaah leo ndo siku soda zenye sukari zitanijua mimi ni nani....., huwa nikiamka naumwa kichwa naweza kunywa soda zote za sukari zaidi ya tano kwa siku....., Mpaka sasa nishakunywa Fanta Passion moja ila nataka niagize pineapple niendelee kusogeza nayo muda
  13. Mchagah

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mkuu kwa hyo mixer alchemist wakichukua damu yako wanatoka na dawa ya UKIMWI[emoji28][emoji28][emoji28] Mimi nakunywa sawa ila wewe ni gari maalumu kwa matumizi ya kubeba pombe tuuu
  14. Mchagah

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Dah! Nashtuka sa hivi kichwa kinagonga kuliko kawaida[emoji58] kweli Valuer sio pombe ya kunywa kavu labda umix na safari baridi inakuwa na ladha flani hivi amaizing na haina hangover [emoji55][emoji55][emoji55] Hapa bila supu hapakaliki Jumapili ishakuwa chungu hii
Back
Top Bottom