Recent content by Mc2nyi

  1. Mc2nyi

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Muweke wazi kuwa yeye ni wa kukata kiu. Mapenzj ya namna hii yanashamiri sana na wala usiogope. Aamue moja. Akigoma sambaza upendo kwa terms and conditions
  2. Mc2nyi

    Magufuli ndio Rais ambaye hakuacha legacy yoyote

    Vita ya uchumi haiwezi kupendezwa na mabeberu (NEVER EVER). Hata wenyeji hutumika kuangusha au kudhoofisha jitihada za maendeleo ya nchi na kuwaona viongozi wachapa kazi kama sehemu ya matatizo (refer hali ya Libya na Gadafi) Cruelity ni sehemu ya maendeleo (soma vitabu vya dini na historia ya...
  3. Mc2nyi

    Kuitwa interview Gaming board of Tanzania.

    Hiyo gambling mpaka apate kazi au bado gambling inaendelea?
  4. Mc2nyi

    Kwanini Serikali isiweke utaratibu wa watoto wa nursery na daycare kuingia saa 3 asubuhi?

    Imekuwa kawaida watoto wa Nursery na Day care shule za English Medium kuingia shuleni saa 1 asubuhi. Ukiweka umbali wa kuchukuliwa na school bus, wengi huchukuliwa saa 12 kamili na dk chache. Hii umlazimisha mtoto kuamka saa 11 alfajiri. Kwa nini wizara isiweke utaratibu umri wa watoto wadogo...
  5. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    PrtScr inagoma pia Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  6. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    F10 kavu inakuwa kimya tu Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  7. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Inasema can not find any mods Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  8. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Sorry nimetumia simu, screenshot ya PC siijui [emoji23] Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  9. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Nimeweka mods kadhaa, ila nikitengeneza new profile sion sehem ya mods, msaada tutani Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  10. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Yes Naijaribu hapa Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  11. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Maelezo nimepata juu kabisa....thank you Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  12. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Hivi ukisha download unai save vip uanze kuitumia Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  13. Mc2nyi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Ishaisha [emoji17] Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
  14. Mc2nyi

    Uzi wa vyakula tu

    Kuna kitu inaitwa Karikabujuna Sema sina picha yake
Back
Top Bottom