Recent content by Mc Zipompapompa

  1. Mc Zipompapompa

    Nina wasiwasi vitabu vya Nyerere vitapigwa marufuku siku moja

    Sio vitabu tu hata hotuba zake na vyombo vya habari vyenye either ku-quote au kurusha hotuba zenye kumpa za uso vitapigwa marufuku/kufungiwa kwa maelezo hotuba hizi zinatoa uchochezi na kuhatalisha usalama wa nchi na vyombo vya habari viombe msamaha kimaandishi kuwa daima milele havitamtaja...
  2. Mc Zipompapompa

    NEC yamjibu Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu

    Say it louder........Muda ni mwalimu mzuri sana katika maisha. Hakuna cha kuongeza katika andiko hili
  3. Mc Zipompapompa

    Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

    The sign are very clear
  4. Mc Zipompapompa

    Rais Magufuli, ashauriwe aache kuchomeka chomeka maneno ya kizungu katika hotuba

    Miaka zaidi ya 17 ya kusoma huku kiingereza kikiwa ndiyo lugha ya kufundishia still hujui hata kuongea sentensi yenye maneno 8 tu kiufasaha! Mweeeh mi mwenzenu huwa naangalia hii mutu halafu nabaki kucheka kimangati "zwii..zwii..zwii..zwii"
  5. Mc Zipompapompa

    NEC yamjibu Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu

    Njaa zitawaua. You can fool some people some time but not all the people all the time. Tume huru.....tume huru.....tume huru. The world knows what is going on in Tanzania. Halafu wahenga walisema "No king rules forever" one fine day this will come to an end.
  6. Mc Zipompapompa

    Na Tunisia ilianza hivi hivi

    Mkuu bujibuji uliyoyasema kila mtu anayaona na ni bahati mbaya sana hawa mazombi wenye uchu wa madaraka na ulimbukeni wa mjengo mweupe wanafikiri wao ni miungu watu. Wanadhani wanamamlaka ya kutufanya chochote kwa kutumia mamlaka waliyonayo. Hili ni swala la muda na amini nakuambia chini ya...
  7. Mc Zipompapompa

    Niliyoyaona nchini German katika tour yangu

    Yes indeed haujatulia na ni kweli umelenga katika kuwatanabaisha wana forum kuwa ulikwenda German. In fact mimi binafsi nilidhani utajikita katika kufafanua uchakarikaji wao hasa ukichukulia kicha cha habari. Pili nilitaraji kuona ufafanuzi wa vibaka ambao wewe umewaita wame-advance! The 200...
  8. Mc Zipompapompa

    Flaviana Matata achana na siasa fanya mambo yako ya urembo

    Wewe ndo uache kuandika upuuzi humu. Ujinga una viwango ila wako umetukuka
  9. Mc Zipompapompa

    Mbezi, Dar: Waziri Ndalichako, Masauni na IGP Sirro wafika nyumbani kwa Mwanafunzi Akwilini

    Wamefika kufanya nini! Ni muendelezo wa unafiki tu na kujikosha. Deep down in they're heart wanajua kuwa ndio sera yao
  10. Mc Zipompapompa

    Wanaume mlioko kwenye ndoa kwanini hamridhiki na wake zenu?

    Ushaliwa weye........endelea kutoa huduma acha kutokwa na mapovu na ki-story chako cha kidwanzi . Our job is to dig into those holes big-time na tutaifanya hiyo kazi kweli kweli (in ngosha's voice) mke....mke.....mke......so what! Si ungeolewa basi na wewe [emoji57]
  11. Mc Zipompapompa

    Sijawahi kuwa na msichana mzuri tatizo ni nini?

    wallah umenifanya nimecheka kupitiliza, lakini kusema kweli haya madude a. k. a madege kama ulivyoyaita yaone tu yakiwa yamevaa nguo na mashauzi lakini ukishayaingiza theater kuyafukunyua utajuta why did you dare.
  12. Mc Zipompapompa

    Natafuta rafiki wa kiume

    Njoo kule PM tuyajenge however it's win-win situation
  13. Mc Zipompapompa

    Tetesi: Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akamatwa na TAKUKURU

    Mm kwa maoni yangu hili limechelewa sana, mchechu, kule nssf na maliasili katika utawala ule waliwekwa watu kwa maslah ya watawala(utatu mtakatifu)na wamekula kweli kweli huku wakihakikishiwa usalama. Ni bahati mbaya tu watawala wao wako juu sheria hawaguswi. NHC contract zote za miradi...
  14. Mc Zipompapompa

    Tetesi: Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akamatwa na TAKUKURU

    Ray ni mpigaji mashughuli toka akiwa benki flani.....wacha niishie hapa wanaomjua kama mimi wataongezea
  15. Mc Zipompapompa

    Wabunge wote wapinge uteuzi wa Simbachawene

    Tena huyo usimtaje kabisa hapa! Kwa sasa magufuli kama ni mkweli kama ambavyo anasema sheria za madini zirudi bungeni kubadilishwa basi NA SHERIA YA KINGA YA RAIS IRUDI BUNGENI IBADILISHWE ILI TU- DEAL NA AWAMU MBILI ZA NYUMA. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom