cmases
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 1,766
- 1,425
Hivi huyu alikuwa hausiki na ile maximum 15m ya mkuu??Kweli moyo ni mdanganyifu kuliko vyote, tena una ugonjwa wa kufisha. Mtu unalamba mshahara halali wa zaidi ya 20m kwa mwezi lkn bado haiutoshi!
Mimi nikipata mshahara wa usd 5,000/ = kwa mwezi sina sababu ya kufanya ufisadi.
Vv