Recent content by Mc PIPI

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi Njombe Town

    Z Zimefull zote mzee baba,labda utafute Makambako 60kms to Njombe
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nikiikosa hii nitakuwa na gundu maana nimekuwa Teja wa hii story Hadi Jana nimelala saa 7 usiku kisa kuona mwendelezo,tupe mwongozo boss.
  3. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tunauza Friji na Freezer kwa bei nafuu

    Hv Yale makubwa ya mabuchani unayo? Na ni bei gani kama unayo purposely for fishes.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ujue mchezo wa aviator au kindege na siri zilizojificha nyuma yake

    Tupe mbinu zako mkuu
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Boss imeifunga PM yako?
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Tengua kauli mkuu,mm ni kidume.
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Nashukuru wahenga,michango yenu naipata vema.
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Salamu kwenu wakuu. Jambo hili nimeona hapa ni mahali sahihi pa kupata solution ya kumaliza vizuri jambo la huyu dada. Ipo hivi, leo kuna workmate mwenzangu na my best friend anafanyiwa send off huko kwao na huyu workmate mwenzangu ana rafiki aitwaye Clara wameshibana sana na huyu Clara ni...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Vp leo mkuu,waweza tubless huu night?
  10. M

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

    Mbona wataja jina langu mzee?
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

    Ila naona dalili ya uvumilivu kufika Kikomo.
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

    Sasa mbona unamsema mke wangu? Na Bado namvumilia mwaka wa 10 huu kwenye ndoa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

    Nilikuwa nampango wa kuanza kutumia bangi lakini Kwa haya ninayo yaona,sobber house zijengwe kila Kara.
Back
Top Bottom