Recent content by Mc PIPI

  1. M

    Hodi hodi Njombe Town

    Z Zimefull zote mzee baba,labda utafute Makambako 60kms to Njombe
  2. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nikiikosa hii nitakuwa na gundu maana nimekuwa Teja wa hii story Hadi Jana nimelala saa 7 usiku kisa kuona mwendelezo,tupe mwongozo boss.
  3. M

    INAUZWA Tunauza Friji na Freezer kwa bei nafuu

    Hv Yale makubwa ya mabuchani unayo? Na ni bei gani kama unayo purposely for fishes.
  4. M

    Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Tengua kauli mkuu,mm ni kidume.
  5. M

    Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Nashukuru wahenga,michango yenu naipata vema.
  6. M

    Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Salamu kwenu wakuu. Jambo hili nimeona hapa ni mahali sahihi pa kupata solution ya kumaliza vizuri jambo la huyu dada. Ipo hivi, leo kuna workmate mwenzangu na my best friend anafanyiwa send off huko kwao na huyu workmate mwenzangu ana rafiki aitwaye Clara wameshibana sana na huyu Clara ni...
  7. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Vp leo mkuu,waweza tubless huu night?
  8. M

    FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

    Mbona wataja jina langu mzee?
  9. M

    Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

    Ila naona dalili ya uvumilivu kufika Kikomo.
  10. M

    Umewahi kuachana na mtu kisa kazidisha mapenzi?

    Sasa mbona unamsema mke wangu? Na Bado namvumilia mwaka wa 10 huu kwenye ndoa
  11. M

    Mnaomfananisha Mbahatishaji Chama na Anayejua Aziz K mna Akili sawa sawa Kweli?

    Nilikuwa nampango wa kuanza kutumia bangi lakini Kwa haya ninayo yaona,sobber house zijengwe kila Kara.
Back
Top Bottom