Niwajuze kitu kimoja sasa,SHULE za private Tanzania na hasahasa za Katoliki kwao hayo madegree na madiploma Wala hawahangaiki nayo,wao Wana hata walimu wasiosoma fani ya ualimu lakini wako nondo sana na Kuna walimu wengi wa certificate wako nondo kuliko hata hao wa degree all in all kupanga ni...
Na hata kama Messi akiwa kileleni Kwa ufungaji huo baada ya kombe hili,hiyo rekodi yake itavunjwa baada ya miaka minne TU na Mbape kwani kijana Bado ana mashindano yajayo yasiyopungua mawili.
Salamu kwenu wakuu.
Jambo hili nimeona hapa ni mahali sahihi pa kupata solution ya kumaliza vizuri jambo la huyu dada.
Ipo hivi, leo kuna workmate mwenzangu na my best friend anafanyiwa send off huko kwao na huyu workmate mwenzangu ana rafiki aitwaye Clara wameshibana sana na huyu Clara ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.