Recent content by Mc green

  1. M

    Walimu wa Shule ya Sekondari Ilala, kwanini mnauza notes kwa wanafunzi?

    We we mzazi hiyo hela Ni ndogo Sana,toa,nimefanikiwa kuviona vitabu vya bure vinatolewa na TIE(Tanzania institute of education) material yake yako shallow Sana,yaani masomo mengi tu,Sasa mwalimu akitaka kwenda zaidi ya hapo inabidi azalishe vimatini vya ziada ya pale ,vile anaenda kuvizalisha...
  2. M

    Joseph Selasini alikaribishwa NCCR na Sasa anamfukuza James Mbatia aliyemkaribisha NCCR

    Ukikaribishwa kwenye chama basi uwe ndiyo mzeeee siyo etiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?
  3. M

    Anderlek Prison or School? Who is at Fault?

    Viboko let students be canned otherwise they won't study
  4. M

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Nimesoma na watu walikuwa na physics, chemistry,na biology,ebu waconsult mkoani kwako bila Shaka wanayo
  5. M

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Open shule nzuri na ipo shule,siyo eti kwakuwa Ni open utarajie favours,hiyo haipo Bali Ni shule haswaa ,nimesoma bachelor hapo Ni Safi tu,elimu ya University mwalimu Ni mchokozaji was mada tu ila yote kwa yote were ndiyo target lazima u fight kwa tooth and nail,kitabu kipo open na content Safi...
  6. M

    Angalia picha: Mabehewa ya treni za SGR yanatengenezwa, barabara zinajengwa, meli, madaraja, na mishahara inaongezwa

    Hayo mabehewa yaende nchi nyingine mbona ya kizamani Sana hayana tofauti na yaliyoko TZ kasoro rangi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
  7. M

    Jinsi ya kukokotoa Ongezeko la Asilimia Mshahara!

    Huo mshahara huwa unaongezeka kwa formula ya reducing balance yaani kadri daraja la mshahara linavyopanda kwenda asilimia ya nyongeza hupungua na kadri daraja linavyopanda dogo asilimia ya nyongeza huongezeka kwa hiyo asilimia 23.3 siyo ya wenye TGTS G,H,I nk hiyo siyo yao asilimia yao inaweza...
  8. M

    Anuani za makazi VS Lugha ya Malkia

    Hata nape nayeye anayesimamia zoezi Hilo Ni mzigoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo umesimamia kwa mbwembwe na chopa na chopa Mambo hollaaah!!!!!!!!!!!! Ni hakuna anachokijua zaidi ya kupika fitina tu za kutaka kuwafunga kina makonda,yaaaani hi Nicole kwamba wanabebwa na CV za baba...
  9. M

    Awamu ya sita mnajiwakilisha walamba asali

    Mama Kama unampendaje Sana makambà gawanya wizara ya nishati uibadilishe iitwe wizara ya umeme mpe kalemani, wizara ya mafuta mpe makambà,kwa kumwachia yote haya makambà Yale Mateso ya awamu ya nne yamerudi tenaaaaaaaaaaaaaaa ,nchi hii Ni matesoooooooooo...
  10. M

    Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

    Makambà ameutikisa Sana uchumi wa nchi Hadi umeparaganyika Tena anasema "Tanzania hatuzalishi mafuta" kumbuka serikali zote duniani na mawaziri wanaochukua credit katika nyadhifa zao Ni uwezo was kuwa innovative na kusolve changamoto za wateja( clients)wanaotegemea huduma yako,Sasa kwa makambà...
  11. M

    Salary slip yangu haioneshi deni langu kukatwa, Je nikope benki nyingine

    Naomba kuuliza ,Kuna baadhi ya masharti ya kazi ukiomba wanakwambia uwe hujawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote,Sasa swali je Kama nimewahi kufungwa na kosa Hilo nikalikatia rufaa halafu nikashinda rufaa,je kipengere Cha kutiwa hatiani kitakuwa bado kinanibana?
  12. M

    Rais Samia ni kinara wa maslahi ya wafanyakazi

    Hakuna hela hapo vijarida vya kupongeza Raisi Raisi hakuna lolote!
  13. M

    Kumbe Shomari Kapombe ni mkiristu?

    Kwa sababu jina limeishia na pombe ndo ukasema katokea ziwa
  14. M

    Jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli? Nini kifanyike?

    Nikwamba silaha zao Ni butu au vipi! kwanini agome kufa? Yeye (magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii)Anatumia silaha gani?
  15. M

    Jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli? Nini kifanyike?

    Magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii "mmoja" aliyekufa anapambana na watu milioni kumi wenye uhai na wasomi lakini "magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aliyefariki amegoma kufa"wao wanatumia silaha zifuatazo(vijana wa kukodiwa kutukana mitandaoni,wanasiasa...
Back
Top Bottom