We we mzazi hiyo hela Ni ndogo Sana,toa,nimefanikiwa kuviona vitabu vya bure vinatolewa na TIE(Tanzania institute of education) material yake yako shallow Sana,yaani masomo mengi tu,Sasa mwalimu akitaka kwenda zaidi ya hapo inabidi azalishe vimatini vya ziada ya pale ,vile anaenda kuvizalisha...
Open shule nzuri na ipo shule,siyo eti kwakuwa Ni open utarajie favours,hiyo haipo Bali Ni shule haswaa ,nimesoma bachelor hapo Ni Safi tu,elimu ya University mwalimu Ni mchokozaji was mada tu ila yote kwa yote were ndiyo target lazima u fight kwa tooth and nail,kitabu kipo open na content Safi...
Huo mshahara huwa unaongezeka kwa formula ya reducing balance yaani kadri daraja la mshahara linavyopanda kwenda asilimia ya nyongeza hupungua na kadri daraja linavyopanda dogo asilimia ya nyongeza huongezeka kwa hiyo asilimia 23.3 siyo ya wenye TGTS G,H,I nk hiyo siyo yao asilimia yao inaweza...
Hata nape nayeye anayesimamia zoezi Hilo Ni mzigoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo umesimamia kwa mbwembwe na chopa na chopa Mambo hollaaah!!!!!!!!!!!! Ni hakuna anachokijua zaidi ya kupika fitina tu za kutaka kuwafunga kina makonda,yaaaani hi Nicole kwamba wanabebwa na CV za baba...
Mama Kama unampendaje Sana makambà gawanya wizara ya nishati uibadilishe iitwe wizara ya umeme mpe kalemani, wizara ya mafuta mpe makambà,kwa kumwachia yote haya makambà Yale Mateso ya awamu ya nne yamerudi tenaaaaaaaaaaaaaaa ,nchi hii Ni matesoooooooooo...
Makambà ameutikisa Sana uchumi wa nchi Hadi umeparaganyika Tena anasema "Tanzania hatuzalishi mafuta" kumbuka serikali zote duniani na mawaziri wanaochukua credit katika nyadhifa zao Ni uwezo was kuwa innovative na kusolve changamoto za wateja( clients)wanaotegemea huduma yako,Sasa kwa makambà...
Naomba kuuliza ,Kuna baadhi ya masharti ya kazi ukiomba wanakwambia uwe hujawahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote,Sasa swali je Kama nimewahi kufungwa na kosa Hilo nikalikatia rufaa halafu nikashinda rufaa,je kipengere Cha kutiwa hatiani kitakuwa bado kinanibana?
Magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii "mmoja" aliyekufa anapambana na watu milioni kumi wenye uhai na wasomi lakini "magufuliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aliyefariki amegoma kufa"wao wanatumia silaha zifuatazo(vijana wa kukodiwa kutukana mitandaoni,wanasiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.