Recent content by Mc green

  1. M

    Access Bank TZ, nikimeo kipya bongo

    Benki ya TCB waliinunua Twiga bancorp,na benki ya wanawake,kwa hiyo ni benki kubwa Sana na ina fedha ndefu,sema labda upande wa mifumo ya kidigitali Ila wanaukwasi mzuri tuu
  2. M

    Access Bank TZ, nikimeo kipya bongo

    Tanzania commercial Bank ni nzuri
  3. M

    Waishitaki INEC wakitaka irekebishe kanuni za maadili

    Huyu judge ni mchanga Sana,tumezimisi mikiki mikiki ya majaji nguli,ngoja ni kumbushe kidogo 1.LUHEKELO KYANDO 2.KAHWA LUGAKINGIRA 3.MWALUSANYA Mawakili nguli Professor Mgongo Fimbo, Masumbuko Lamwai Musa Kwikima Uzito wa kesi hii aliyeifungua na jaji anayeisikiliza nawaona ni wepesi,kwa...
  4. M

    Vita ya maneno kati ya Rwanda na Burundi: Ina maana Ndayishimiye hajui tu kama amekalia kuti kavu?

    Tshisekedi na congo na jeshi lao la FARDC na wazalendo wa Congo wamepeleka moto siyo wa pole pole Rwanda, bado km 14 tu kuifikia Kigali, wameteka kiwanja Cha ndege na huko Gisenyi shule zimefungwa, ni kichapo Cha hatari, yaani kule Goma Kuna majeshi ya kikongo, Burundi na Tanzania, Kenya, na...
  5. M

    Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

    Kuna natafuta yamepeleka askari wao kupigana upande wa congo Kama:- Burundi,south Africa, Tanzania,Kenya,kwahiyo jipe siku 3 mbele, utasikia M23 ana Hali gani, sababu majeshi ya washirika ndo yanaingia site Sasa, yaani kumzuia M23 ni kazi inayo fanywa na washirika,niliowataja hapo juu,halafu...
  6. M

    Picha za pamoja za viongozi wote waliohudhuria Misheni 300: Mkutano wa Nishati Afrika 27-28 January 2025

    Si tulitaka tumwone yeye,yaani "He is the African Role model"
  7. M

    Mambo ya ajabu yaliyonifanya nikashindwa kuishi vijiji vya kanda ya Ziwa

    Hiyo ya kuitana kwa king'ora siyo ushamba Wala ajabu, sehemu zingine wanapiga jembe, wanapiga Ngoma-,, wengine wanapiga la mgambo, hiyo ni ala ya mwito Safi tuuuuuuuuu
  8. M

    Mtaji wa milioni 45 napata faida ya 500,000 baada ya siku14 ni sawa?

    Mtu wangu WhatsApp yangu +255755846814 naomba uniwezeshe $2600/- nikamilishe kwa broker wangu ,anikopeshe mtaji Yuko nje ya nchi nitairudisha within 60 days,karibu sana
  9. M

    Mtaji wa milioni 45 napata faida ya 500,000 baada ya siku14 ni sawa?

    Hodi wana jukwaa,jamani nimepata mtu wa uhakika wa kunikopesha pesa nje ya nchi,Ila napuñgukiwa fedha ya broker $2600/- njoo WhatsApp +255755846814 tuyajenge fedha hii nakurudishia ndani ya miezi 3
  10. M

    PreGE2025 Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumnyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu

    Wamwachie apambane na wasira shida iko wapi hapo, tunatamani mtifuano wa hoja
  11. M

    Nimeamini wanawake hubadilika muda wowote ule

    Wanawake ukiwa naye ni Kama hewa tu,Sasa hivi joto,baadaye vuguvugu mwishowe baridi,kwa hiyo siku nyingine usimwekee maanani mwanamke
  12. M

    Lissu acha Utani, tunataka kumuona Lema akiwa na nafasi ya maana hapo CHADEMA

    Mimi Sina mrengo wowote Ila lema ni kete muhimu Sana kwenye field, sijui lema kwa kumkaribia Ila namjua kupitia speech zake na kupitia video
  13. M

    Hongereni Jambo tv, ujasiri wenu umewalipa

    Mimi niliangalizia TBC
  14. M

    Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

    Lissu ichukue timu magufuriiiíiiiiiiii ipo Ina hang out,please fanya hivyo haraka ,hakikisha unatumia vilivyo,itakusaidia sana
Back
Top Bottom