LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,404
Changamoto kesi itaamriwa 2026
Kwa hizi mahakama za CCM wanapoteza muda wao bureLabda ingekuwa Kenya 🇰🇪
Kwanza haitakubaliwa hata kufunguliwa ni mahakama za hovyo sn hiziChangamoto kesi itaamriwa 2026
Mnalipwa pesa kiasi gani Ku-underrate harakati za hao vijana.Hamna kitu hapa. Huyu hawezi kuwa BOLD judge! Watoto wa juzi hawa hawawwezi ku resist pressure za madikiteita!
RIP MWALUSANYA, KATITI, LUGAKINGIRA
Lifunguliwe na shauri la dharula kusimamisha uchaguzi mkuu hadi haki za maoni za wananchi kuhusu marekebisho ya sheria zifuatazo kuelekea kipindi hicho zifanyike ndipo uchaguzi ufanyikeWanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.
Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.
Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.
“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.
Sura inaongeaLeo Jumatano, Juni 25, kupitia mtandao, kesi namba 12670/2025 imetajwa mbele ya Mhe. Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma. Kesi imefunguliwa na Raia ni SiSi; Kumbusho Kagine pamoja na Bubelwa Kaiza, wakiwakilishwa na Mawakili wasomi Mpale Kaba Mpoki na Jebra Kambole
TOKA MAKTABA :
14 Aprili 2025
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Uchaguzi INEC, Ramadhan Kailima - CHADEMA KUTOSHIRIKI UCHAGUZI WOWOTE HADI 2030
View attachment 3382950
Photo : Bw. Ramadhan Kailima wa INEC
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Uchaguzi - INEC, Ramadhan Kailima amesema Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema hawatashiriki uchaguzi huu hadi mwaka 2030.Chadema ni kati ya vyama 19 vya siasa vilivyosajiliwa Tanzania, Na ndicho chama pekee ambacho hakijasaini kanuni za uchaguzi, jambo ambalo linawanyima fursa kisheria kushiriki katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba, 2025.
Hapa majaji wanapokea vimemo toka Samia aliyewateua.Labda ingekuwa Kenya 🇰🇪
Majaji ndiyo waidharaulisha Mahakama hapa Tanzania.Ina maana umeidharau nchi yako.
Huyu judge ni mchanga Sana,tumezimisi mikiki mikiki ya majaji nguli,ngoja ni kumbushe kidogoHamna kitu hapa. Huyu hawezi kuwa BOLD judge! Watoto wa juzi hawa hawawwezi ku resist pressure za madikiteita!
RIP MWALUSANYA, KATITI, LUGAKINGIRA
Uko sahihi kabisa!Huyu judge ni mchanga Sana,tumezimisi mikiki mikiki ya majaji nguli,ngoja ni kumbushe kidogo
1.LUHEKELO KYANDO
2.KAHWA LUGAKINGIRA
3.MWALUSANYA
Mawakili nguli
Professor Mgongo Fimbo,
Masumbuko Lamwai
Musa Kwikima
Uzito wa kesi hii aliyeifungua na jaji anayeisikiliza nawaona ni wepesi,kwa mtizamo wangu
Very excellent.Wanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.
Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.
Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.
“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.
Kwahiyo ni kweli Tanzania ni watu wasio na furaha dunianiLabda ingekuwa Kenya 🇰🇪
Hivi Kumbusho Kagine alienda kumuomba msamaha mwalimu Mgeni pale Kihesa Sekondari maana huyo dogo alimpa kichapo mwalimu wake wakati yupo kidato cha nne Kihesa Sekondari -IringaWanaharakati wanaojitambulisha Raia ni Sisi, Kumbusho Kagine na Bubelwa Kaiza wamefungua kesi namba 12670/2025 kupitia mtandao dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiiomba Mahakama itoe amri ya kurekebisha upungufu uliomo kwenye Kanuzi za Maadili ya Uchaguzi.
Taarifa kutoka kwa Raia ni Sisi wanaowakilishwa na mawakili wasomi Mpoki Bukuku na Jebra Kambole imesema kesi imetajwa leo Jumatano, Juni 25, 2025 mbele ya Jaji Kagomba, Mahakama Kuu Dodoma.
Taarifa Zaidi zinadai kuwa Serikali imeweka pingamizi dhidi ya umahiri wa kiapo.
“Jaji Kagomba amepanga kusikiliza na kutolea uamuzi pingamizi la wajibu maombi siku ya Alhamisi Julai 3, kisha, iwapo ataona pingamizi halina mashiko, kuendelea kusikiliza shauri hilo. Shauri litasikilizwa Mahakama ya Wazi, [Mahakama Kuu] Jijini Dodoma,” imesema taarifa ya Raia ni Sisi.