Recent content by mbwigule

  1. mbwigule

    Cosmas Makongo wa ITV aswekwa rumande kwa kuripoti Njaa Wilayani Kyerwa!

    Kwa mtaji huu waandishi wataendelea kunyanyaswa na kupuuzwa kwa muda mrefu ujao! Waandishi wetu ni waoga, wanakosa Umoja, uzalendo na msimamo kwa fani yao na kila mmoja anahangaikia maslahi yake! Ndiyo maana wanafanya kazi kwa maslahi duni, mazingira hatarishi na yasiyo na matumaini, wanasiasa...
  2. mbwigule

    Polisi wanamhanya kibaka Scorpion anayechoma watu visu na kuwatoboa macho?

    Anakofanyia uhalifu ni chini ya mita mia mbili toka kituo cha Polisi, hapo kuna maana moja kati ya hizi; anashrikiana nao au wanamgwaya.
  3. mbwigule

    Cosmas Makongo wa ITV aswekwa rumande kwa kuripoti Njaa Wilayani Kyerwa!

    Tumekuwa Taifa la watu waoga, wanafiki na waliojaa hofu na kila mmoja akijaribu kuokoa kichwa chake kwa kuimba pambio za kusifia utawala hata pale unapostahili kukosolewa.
  4. mbwigule

    Cosmas Makongo wa ITV aswekwa rumande kwa kuripoti Njaa Wilayani Kyerwa!

    Halafu unakuja utafiti feki wa Twaweza utawasikia " asilimia 99 ya watanzania waliohojiwa kwa simu wanamkubali JPM"! Katika mazingira kama haya kuna mtuasiyekufahamu utakayemwuliza kwa simu anauonaje utawala huu akuambie ni mbaya au haufai?
  5. mbwigule

    President Museveni's bodyguard, Churchill Kusiima found dead in a Hotel Room

    I think the second liberation struggle in Uganda is about to start! It is starting like the way Museveni started in 80s.
  6. mbwigule

    Nyerere alikuwa nabii wa Tanzania

    Bila shaka hiyo ni nukuu toka kwa mmoja wa wapotoshaji wa historia kwa maslahi yao. Ukweli ni kwamba hakukuwa na uhaba wa bidhaa muhimu kabla ya vita. Huu ni uongo wa wazi ambao waliokuwepo enzi hizo, isipokuwa wapotoshaji wa makusudi watakiri! Matatizo yalikuja tu baada ya vita. Ni kawaida...
  7. mbwigule

    Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

    Na baada ya ndoa ukikuta Jogoo hapandi mtungi utafanyaje?
  8. mbwigule

    Nyerere alikuwa nabii wa Tanzania

    Huelewi unaongea na mtu wa namna gani! Nimeuishi ukoloni, Nimeuishi utawala wa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa Magufuli. Narudia tena hizo ni porojo ulizolishwa huko unakozitoa, zinazozalishwa na chuki ambazo wengi humu JF wanakulaumu kwa udini. Wewe unamchukia Nyerere kwa sababu moja...
  9. mbwigule

    Nyerere alikuwa nabii wa Tanzania

    Faiza udini wako mpaka unatia aibu. Mbona huelezi mazingira ya huo umasikini? Ukweli ni kwamba mitihani aliyopitia Nyerere katika uongozi wa nchi hii haijapitiwa na kiongozi yeyote katika hawa waliomfuata! Nyerere aliweka misingi imara ya uchumi, aliuimarisha uchumi kiasi cha uchumi ku sapoti...
  10. mbwigule

    Nyerere alikuwa nabii wa Tanzania

    Lipi la ajabu, kuitwa nabii? Mbona karibu kila kitongoji siku hizi wapo wanaojiita manabii wengi wao wakiwa feki? Hata mimi namchukulia Nyerere kama alikuwa nabii kwa aliyoyaonya kabla hayajatokea na ambayo sasa tunayashuhudia! Kwa mfano ubaguzi ulioanzishwa na CCM ulianza polepole tena ndani ya...
  11. mbwigule

    Mashirika yanayolipana Mishahara Minono kwa mwezi

    Bila shaka ni uleule wa Rais aliyepita wa mamia ya mamilioni ya shillingi. Kuna wakati asasi fulani ya kimataifa iliuweka mshahara wa Rais wetu kwenye tano bora duniani, serikali iliyopita ilikanusha na kulalamika ni watu wanataka kumchonganisha Rais wetu na wananchi wake lakini hawakuutaja...
  12. mbwigule

    Kwa hili Magufuli umeingizwa mkenge

    Kwa nini huamini huyu si mmojawapo kati ya walioishauri serikali juu ya umuhimu wa Dr Ndalichako? Kwani ushauri una gharama gani au ni mtu wa sifa zipi anaruhusiwa kushauri? Mi naamini huyu anaweza kuwa mmoja kati ya wengi waliolalamikia kuondolewa Dr. Ndalichako kama walivyofanya maelfu kwenye...
  13. mbwigule

    Nyerere alikuwa nabii wa Tanzania

    Hoja za kijinga zisizozingatia ukweli ndiyo kama za huyu jamaa. Hoja za namna hii ni hoja potofu zinazotakiwa kujibiwa mara moja kabla ya kuisumisha jamii ya kizazi ambacho hawakumwona Nyerere. Mumba ameweka hoja tatu: Kwanza ya kukanusha uyatima wa Tanzania kama nchi baada ya kuondokewa na...
  14. mbwigule

    Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

    Mara nyingi jamvini humu watu hufanya mizaha badala ya kutoa ushauri wa kusaidia, ila wapo wenye ushauri mzuri kabisa. Karibu ukipenda ushauri zaidi, unaweza nitumia PM! Pole kwa kuumia.
  15. mbwigule

    Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

    Ni kweli unafanyia kazi Shirika la kidini, lakini kuanguka na kusimama ndiyo sehemu ya ubinadamu tulioumbwa nao na wala usitishike na huo mkwara wa kuachishwa kazi. Siungi mkono ngono kabla ya ndoa lakini inawezekana ulijikwaa, na kama unanisikiliza nakusihi usijaribu kamwe kuitoa maana hiyo...
Back
Top Bottom