kwake ilikua lazima awe raisi bila kujali mambo yake yakoje, wenzake wote walikua wameomba kuwa maraisi kwahiyo ilikua wanalazimika kuwa na baadhi ya vigezo ikiwemo suala la mke.
yeye ilikua lazima awe kwa mujibu wa katiba hata kama angekua ni nani.
Nina kipato cha shilingi milioni moja na nusu kwa mwezi (1,500,000/=) na ninafirikia kuanza ujenzi wa nyumba ya kuishi.
Naomba ushauri wa namna gani naweza kufanya ili ujenzi uende pamoja na maisha mengine.
Nina familia ya mke na mtoto mmoja anayesoma darasa la nne, ada ya shule ni 1.5m kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.