Recent content by mbwewe

  1. M

    Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

    Asiekuwa maarufu
  2. M

    GSM na Hersi mmekivuna mlichokitaka kwa Manara

    Kwani KAZI IPO yanga pekee yake
  3. M

    Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

    Manara yupo yanga sababu ya gsm na ni balozi wa bidhaa zao halafu huwezi kumfananisha huyo meneja na mtu maarufu kama haji manara Haji manara akisema jambo linakuwa na uzito mkubwa kuliko angesema mtu mwingine wa kawaida
  4. M

    Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

    Gsm wanamuogopa manara wanajua wakimchinjia baharini ataitisha press na kuanza kuwaanika km alivyomfanyia mo dewji. Inakuwa kama ile hadithi ' nani wa kumfunga paka kengele? Wanakosa ujasiri wa kumwambia hahitajiki yanga Na tokea arudi hana alichoongeza zaidi ya drama tu!
  5. M

    Usitengeneze mahusiano na mtu anayekupiga mizinga muda wote

    Kwa io damu yako akulelee nan? Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwenye jackpot vipi unampiga mhindi?
  7. M

    Kenya2022 Siasa za Kenya: Rais Uhuru Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Raila Odinga uchaguzi mkuu, August - 2022

    Hio ndio demokrasia mkuu Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  8. M

    Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    Hili ndio mnalijua leo? Binafsi mi naelewa hili suala takribani miaka 15 iliyopita... Ukweli ni huu hapa MZUNGU NDIE MMILIKI WA KEKI YA DUNIA ANACHAGUA AMPE NANI NA KWA WAKATI GANI. Hta hizo nchi za asia ambazo uchumi wake umekuwa kwa kasi ni mzungu alieruhusu hilo litokee na si vinginevyo...
  9. M

    Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

    Kwa huu mchanganuo inaonekana una matumizi mabaya sana ya pesa yaani usafiri tu pekee yake unatumia elfu kumi kwa siku! Na hta io kodi ya nyumba bado ni kubwa sana ukizingatia mnachanga wote Ushauri wangu tafuta sehemu ambao decent ya hta laki na nusu, usafiri wa kwenda kazini panda daladala...
  10. M

    Naombeni ushauri wa chaguo sahihi kati ya haya

    Utoto raha sana Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
  11. M

    DOKEZO Kashfa kubwa kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), waziri pitisha fagio la chuma

    Hakuna haja ya kumlaumu filbert bayi yeye ni mjasiriamali ameona fursa na ameitumia ipasavyo.....Tanzania kulikuwa hamna miundo mbinu ya michezo ya olimpiki yeye akajiongeza akajenga ingawa ilipaswa serikali ndio ijenge lakini serikali yenyewe ndio hii haiko competent wala hawakuona umuhimu wa...
  12. M

    Hivi mnaposema Simba inajiendesha kwa hasara mnafikiria nini?

    Mleta mada ni NI SHABIKI MANDAZI!!! Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom