Recent content by Mbwarume Mwambamkuu

  1. Mbwarume Mwambamkuu

    Serikali ya awamu ya tano imetaharuki kujeruhiwa Lissu

    Kuna watu wana roho mbaya sijawaona hivi mtu ukiwambia tu watu wafanye mikutano wanakuiaje kufanya Maendeleo manake sidhani km vyama vya siasa vitafanya kila siku hiyo mikutano...Au wataandamana kila siku
  2. Mbwarume Mwambamkuu

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    Mbona wame-perfom vizr tu shida ni actually Au nn nini sababu hata kwenye Kiswahili Mkuu wetu hua anarudia rudia hil NENO "Kweli Kweli "....hata shule zetu Za secondary hua kuna Baadhi ya walim hua tunawapachika majina kutokana Na kurudia rudia NENO kila Mara so hakuna shida.
  3. Mbwarume Mwambamkuu

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kinatoa Mikopo ya Elimu ya Juu kwa waliokosa fika ofisi ndogo Lumumba

    CHADEMA wangetoa taharifa ya kutoa sasa hivi account ingefungw au ingekaguliwa na mkaguz Mkuu WA hesabu za Serikali ...
  4. Mbwarume Mwambamkuu

    Umewahi kuwamudu sisimizi kwa njia ipi?

    Mim nilisunbuliwa na hao wadudu miez niliweka tu mafuta ya taa had leo sijawaona yapita mwez sasa.Ila dawa ulizoambiwa na member mmja humu n nzur japo zinataka uangaliz Mkubwa.
  5. Mbwarume Mwambamkuu

    Ukabila, Ukanda na Udini ni kete ya mwisho ya CHADEMA?

    Mada yako ni nzur ila ungeshaur nini kifanyike.Je n kweli kua serikal ya Magufuli haina ukanda ndani yake..Je unavyosema ukanda haupo Tz.Mfn n ktk Teuz za Rais alizofanya...Sijaona akizingatia balance ya Ukanda..Huenda Magu anataka atoe shukrani zake za uchaguz kwa kupata kura nying kanda ya...
  6. Mbwarume Mwambamkuu

    Rais Magufuli: Wawekezaji wakichelewa kufanya mazungumzo na Serikali nitafunga migodi yote nchini

    Uwezo WA kufunga anao ..ila uwezo WA kubomoa hiyo anayo?????....asije kua anatafuta key k..S alisema wamekubali kuzungumza Na kujadiliana...Halfu s alisema wamekubali kulipa...Sasa mbona mikwara au Nao wanamchelewasha kufanya maendeleo ..bus aifunge hiyo migod..hii kaul haina tofaut Na aliyoitoa...
  7. Mbwarume Mwambamkuu

    Swali Kasirishi: CHADEMA na Upinzani Hawampingi Magufuli kama Lissu?

    Wewe upo Marekan haya ya NCHI hii yaache kula viwela vyako vya pension..Ningefikir ungesema Magufuli anaogopa nini kukosolewa wakat anajigamba kufanya mazur au muulize mikutano ya vyama vya siasa inamuuzuia nini kufanikisha ndoto zake..any way wew huna tofaut na huyo rais ambae sikusikia hata...
  8. Mbwarume Mwambamkuu

    Swali Kasirishi: CHADEMA na Upinzani Hawampingi Magufuli kama Lissu?

    Wewe upo Marekan haya ya NCHI hii yaache kula viwela vyako vya pension..Ningefikir ungesema Magufuli anaogopa nini kukosolewa wakat anajigamba kufanya mazur au muulize mikutano ya vyama vya siasa inamuuzuia nini kufanikisha ndoto zake..any way wew huna tofaut na huyo rais ambae sikusikia hata...
  9. Mbwarume Mwambamkuu

    Rais Magufuli anaendesha nchi kwa misingi ya upendeleo wa kifamilia, kikabila na kikanda!

    Mkuu wa majeshi Jenerali Venance Mabeyo - anatokea kanda ya ziwa [ni Msukuma huyu] Mkuu wa polisi, Kamanda Sirro - anatokea kanda ya ziwa [muikizu]. Mwanasheria mkuu, George Masaju - anatokea kanda ya ziwa [Mjita]. Mwendesha mashtaka - Biswalo Mganga - [Mjita]. Kaimu Jaji Mkuu - Ibrahimu...
  10. Mbwarume Mwambamkuu

    PM Majaliwa: Tutawashughulikia wanaotoa matamshi ya kichochezi

    Si waseme tu wana mlenga TAL Na kwa vile hawajahudhuria msiba WA mke WA mwakyembe imewauma.
Back
Top Bottom