Recent content by mbuyuwangu

  1. M

    Shule ya Ilboru yafungwa

    Ilboru imefungwa likizo au kuna tatizo gani. Unatoa mada isiyoeleweka na haina hata ufafanuzi.
  2. M

    Kifo cha CCM kimetimia

    Ndugu zangu, naona wazi kwa macho na akili yangu anguko kubwa sana la CCM kwenye uchaguzi mkuu 2015. Kweli sikio la kufa halisikii dawa. Pamoja na kuwa CCM inaona dalili zote hizi lakini bado haiamki toka usingizi wa kubweteka. CCM inabaki kuwa ndoto
  3. M

    Mansour live bwawani. Anashingiliwa na kuimbiwa wimbo wa taifa kama mfalme

    Lazima CCM ikubali kuwa na demokrasia hasa kwa wanachama wake. Wakubali mawazo tofauti ya wanachama wake. CCM itauawa na wana ccm wenyewe na hasa viongozi wasiopenda mabadiliko.
  4. M

    Ushuhuda wa kweli: Dodoma waichukia CCM

    Umechemka mzee. Wewe huwafahamu wana dodoma. Mimi naishi dodoma hapa na nina uhakika ulioongea nao wanasema tu kwa midomo lakini mioyoni mwao wanaipenda ccm. Subiri uchaguzi utaona hata kata moja tu ya dodoma haitaingia upinzani.
  5. M

    Kenyatta wa Kenya - Mtoto wa nyoka ni nyoka tu

    Tusiogope kutengwa na Kenya, Uganda na Rwanda. Hawana jipya ila ninachojua ni kwamba EAC itavunjika tena. Maana KENYATTA, KAGAME NA M7 WOTE WANATAKA KUTAMBULIWA.
  6. M

    MISHAHARA YA WALIMU ITAKUWA SH NGAPI, anaejua plz

    Walimu wengi wameacha kazi na kubaki na ajira tu. Wasipoongeza salary walimu endelezeni zenu za kubaki na ajira na kuacha kazi.
  7. M

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Poleni sana Arusha. Tuko pamoja ktk harakati za ukombozi wa nchi yetu. Labda waue watz wote ili waongoze mawe na miti.
  8. M

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    HONGERA CHADEMA. Matokeo ya Arusha yako vipi mpaka sasa? Naona Makuyuni CCM Magamba wamechukua. Na Tanga kata zote zimebebwa na magamba. SASA TWASUBIRI KWA HAMU MATOKEO YA KATA ZINGINE ZA ARUSHA. Wadau kama mtu ameyadaka basi aweke tuyapate. VIVA CDM
  9. M

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    CCM wamekosa uckivu kwa wananchi na watu hawataki hata kuisikia.
  10. M

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    Pipoooooz!!! Chezea CHADEMA weye.
  11. M

    Ripoti hii ilifichwa: Chanzo cha kuporomoka Elimu Tanzania!

    Tumekuwa na serikali inayojali maslahi ya wanasiasa kuliko maslahi ya watumishi hasa sekta ya elimu. Mishahara ya walimu kidogo sana na wanataka walimu wafaulishe. Walimu hawatafaulisha kamwe maana wamejikita kwenye kilimo na biashara kujipatia hela.
Back
Top Bottom