Recent content by Mburahati kwa jongo

  1. Mburahati kwa jongo

    Shamba la hekari mbili za mahindi lafyekwa, ni baada ya mkulima kurudia kosa alilofanya mwaka jana

    kuangamiza kufyeka chakula kwa makusudi ni laana ya moja kwa moja mnajitafutia sie tunayoijua maana halisi ya neno njaa tunawasikitikia kwa kitendo cha kishenzi kama hiko
  2. Mburahati kwa jongo

    Vyama vya Upinzani viratibu Maandamano ya kupinga Shirika la TANESCO

    vyama vya upinzani Tanzania vimekuwa kama mama wa kambo kuna mda vinakupa maziwa kuna mda vinakupa pilipili
  3. Mburahati kwa jongo

    Mbinu zitumikazo kuiba hela benki

    Mbona unacopy kazi ya mtu na hutoi credit kwa muhusika huu uzi nimeuona hapa zaidi ya miaka minne iliyopita Na aliupost mzee wa kudownload hela sir jeff ontario Au umeludi kivingine mkuu...???
  4. Mburahati kwa jongo

    Kilimanjaro bus Express inakaribia kufa?

    Mkuu unatumia bunduki ktk vita ya manati Umenifanya nicheke kwa sauti kubwa sana
  5. Mburahati kwa jongo

    Mwaka wa 9, Sijawahi kumuona mtu mwingine akitumia JamiiForums

    Kwakweli huyu ni mimi kabisa kabisa Ktk mijadala yote kijiweni kuanzia kiuchumi kisiasa kijamii na mengine mengi wanaaminigi mimi ndio final say [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nna wanangu hao kila kitu watakuja kunichukilia maelezo hawana smartphone hawapo active sana na yanayoendelea...
  6. Mburahati kwa jongo

    Majina ya Wahuni

    Naona mkuu umemwagika na majina ya mburahati \kigogo\luhanga
  7. Mburahati kwa jongo

    Jiji la Dar na vitongoji vyake: Mikasa, vituko, vitimbwi na matukio

    Ni chakula Bora mkuu Ipo huku upande wa sokoni ambayo sasa hivi mi ofisi ya afisa mtendaji wa kata Chekechea nimesoma pale
  8. Mburahati kwa jongo

    Jiji la Dar na vitongoji vyake: Mikasa, vituko, vitimbwi na matukio

    Hayupo na mazingira ya pale yamebadilika totally ule ukumbi wa simba oil umeziba ile njia ya kutokea barabarani kuelekea kwa kina Saleh mpozo
  9. Mburahati kwa jongo

    Jiji la Dar na vitongoji vyake: Mikasa, vituko, vitimbwi na matukio

    Mkuu mitaa yangu hiyo nasubiria tufike mburahati nifunguke
Back
Top Bottom