Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,844
- 6,692
Wananita waiti wengne tolu japo ckubaliani nao najijuq mi sio muhuni ila nina muonekano huo
Nawaelewa sana nyie watu ni weupe wa Sura Ile moyo ni weusi hatariMM NI UYO 8 USIOMBE UKAINGIA KWENYE 18 ZANGU JASHO LITAKUTOKA😁😁
mudi, cheupe, cheusi, rama, ommy, mshua, arosto. Papaa, mzushi, side mnyamweziAsalaaam aleykum wakuu.
Allah ni mwena ni wekend na sikukuu pia kwa waislaam wote.
Mada hii sawa na kichwa hapo juu.
Nimeishi mitaa mbalimbali hapa nchini, nilichogudua ni kwamba karibia wahuni wote wa zama hizo na zama hizi hitumia majina bandia yanayofanana.
Mfano mdogo tu, anzia hapo mtaani kwenu, mtaa jirani ama muhuni yeyote unae mfahamu, katika wahuni 10 hakosekani mmoja mwenye jina miongoni mwa orodha hii:
1. Dula
2.Roja
3.J4
4.Msodoki
5.Pablo
6 Toshi
7.Tolu
8.Waiti
9.Zungu
10.Kiwi
11.Putini
13.Osama
15. Chidi
16. Bigi
17.Tupaki
Ongesea mengine ..........
Kivumbi leo😁😁Nawaelewa sana nyie watu ni weupe wa Sura Ile moyo ni weusi hatari
Waiti, Msodoki hujakosea mule mule yani 🤣😂Asalaaam aleykum wakuu.
Allah ni mwena ni wekend na sikukuu pia kwa waislaam wote.
Mada hii sawa na kichwa hapo juu.
Nimeishi mitaa mbalimbali hapa nchini, nilichogudua ni kwamba karibia wahuni wote wa zama hizo na zama hizi hitumia majina bandia yanayofanana.
Mfano mdogo tu, anzia hapo mtaani kwenu, mtaa jirani ama muhuni yeyote unae mfahamu, katika wahuni 10 hakosekani mmoja mwenye jina miongoni mwa orodha hii:
1. Dula
2.Roja
3.J4
4.Msodoki
5.Pablo
6 Toshi
7.Tolu
8.Waiti
9.Zungu
10.Kiwi
11.Putini
13.Osama
15. Chidi
16. Bigi
17.Tupaki
Ongesea mengine ..........
Akina Msolopaganzihaya majina yanaponza sana
kuna dogo alisimamishwa shule kwa ajili ya jina la kihuni "bandidu"
napenda sana bifu na watu kama nyie 😂MM NI UYO 8 USIOMBE UKAINGIA KWENYE 18 ZANGU JASHO LITAKUTOKA😁😁
Unasemaje bwana mdogo
Naona mkuu umemwagika na majina ya mburahati \kigogo\luhangaTerminator
Sele
Kichwa
Beach boy
Mbio
Chuga
Kisu
Fighter
Dogo J
Spider
Pakiao
Tyson
Jeba
Mau