Ni miezi sasa inapita naitafuta playstore bila mafanikio.Ni app ambayo picha zake common saana insta yaan inazifanya picha ziwe na mwonekano ka zimechorwa hv. bt kwa rang nzuuri.
Njeribu ma app mengmeng bt holla mwenye kijua jina nitajie hapa.
bosco makoi Njia ya kuzima na kuwasha nishaitumia hata kuchange line 1>2>1 nmejaribu bt bado sms haziingie japo sender wanadai notification ya Ku receive wanazipata.
Simu yangu haioneshi massage znazoingiaa ila nikituma mimi fresh inaenda kama kawa. Nimecheki setting ziko fresh msg center no. iko vizuri.
Nikichange line na kuweka kwenye simu nyingne zinaingiaaa fresh. Had hapa nmeshindwa jinsi ya kufanya coz nmejaribu njia nyingi tatizo liko pale pale...
Mwenye ujuzi jins ya kuipata simu yangu Huawei Y210 nahisi nimeidondosha mahali au imeokotwa na mtu alookota hajui chochote coz up 2 now simu iko hewan ila haipokelewi.
Hapa nisaidie hata kwa application yoyote inayoweza kunisaidia kuipata simu yangu. Haina Ant theft wala security yoyote zaid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.