Recent content by Mbunge diaspora

  1. M

    UTAPELI TIGO PESA/MPESA

    Nashukuru mungu sijatapeliwa lkn ninaposikia kitu kama hiki najiuliza hakuna mfumo wa kuripoti polisi kitu kama hiki?au tigo,Voda nk?
  2. M

    UTAPELI TIGO PESA/MPESA

    UTAPELI KUPITIA TIGO/MPESA hivi ni kweli serikali haiwezi kudhibiti hili?hivi ni kweli MTU hawezi kuripoti namba iliyomfanyia utapeli ikazuwiwa?au tatizo wananchi hawajuwi jinsi ya kufanya?na kwa nini tigo/mpesa haandiki wakala wa kuchukulia wa pesa
  3. M

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Hili suala la vyeti kungekuwa na grade.mtu kafoji vyeti vya form 4 au 6.halafu akasomea udaktari au ualimu miaka 4au engineer n.akafanya kazi miaka 15.au zaidi na mwingine hajasoma hata mwaka mmoja Lkn na vyeti hivyo bila ujuzi wowote wako sawa?hatuoni hawa wazoefu watachukuliwa na sekta binafsi...
  4. M

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Una mpango wa kurudi Tanzania?kama huna mpango wa kurudi fanya biashara hapo ulipo.biashara inataka usimamizi .
  5. M

    Papa aiomba msamaha Rwanda kwa Mapadre kushiriki mauwaji ya kimbari 1994

    ni hatari sana watu wa dini kuingilia mambo ya siasa.
  6. M

    Mtoto mwenye ugonjwa wa ajabu wa kula mafuta ya kupikia

    Ndugu watanzania, huyu mtoto Subira anasumbuliwa na ugonjwa mbaya, hali inayomfanya asiweze kula chochote zaidi ya mafuta na sukari robo, kibaya zaidi analelewa na mama tu baba alifariki, mama hana uwezo wa kumpeleka hospitali. Najua wapo wasamaria wema na wana uwezo wa kusaidia, akikosa...
  7. M

    Ibada ya Jumapili 26/03/2017 Bishop Dr Josephat Gwajima, Wageni kadhaa wahudhuria

    Kesho Kama atakemea ulaji wa madawa ya kulevya nitajuwa nyuma ya gwajima yupo mungu.
  8. M

    Ibada ya Jumapili 26/03/2017 Bishop Dr Josephat Gwajima, Wageni kadhaa wahudhuria

    Mchungaji gwajima keshasema nyuma ya makonda yupo rais.nae kasema rais ni nabii,kwa mantiki hii gwajima anapigana na mungu kwa hiyo yeye ni Shetani.
  9. M

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Naongelea uingereza nimekupa data, njooni mujaribu, Korea ya kusini nina mashaka.wafilipino wako karibu sana na hapo Lkn wanaenda uarabuni kufanya kazi.uarabuni ni zaidi ya kilomita 6000 hapo Korea kusini si zaidi km 2000.uarabuni wafilipino wanalipwa si zaid us dollar 500 kwa mwezi kwa nn...
  10. M

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Unaweza ukaona mwenye we bonyeza link Zoopla.co.uk au gumtree.com zoopla mambo ya nyumba tuu gumtree both
  11. M

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    hizo hesabu za uingereza nilisahau gas/electricity 10 pound
  12. M

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Think twice Mshahara pound 250 kwa wiki Eeeh Bwana pesa kibaaao yaani laki Saba na nusu kila wiki!!!! Kwa mwezi million 3 waooooh. Miaka kumi millioni 30. Hebu njoo kwenye ukweli kidogo Kodi ya nyumba pound 50 kwa wiki Council tax pound 20 Simu pound 5 Chakula kimasikini pound 20 Basi kwenda na...
Back
Top Bottom