Recent content by Mbulumuka MK

  1. Mbulumuka MK

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya mawsiliano kuachwa yaendelee kutoa mikopo ya kausha damu Serikali imebariki wananchi kufilisiwa kwa maslahi ya kikodi?

    H Huwezi elewe wewe, kuna hao Tigo na bustisha yao. Walikata mkopo wao wakabakisha deni la 0.02tsh, kujaribu kulipo hiyo 0.02 ikakataa. Baada ya siku 5 wakakata 338tsh wakasema nimalizie mkopo uliobaki wa tsh 0.02 kuepuka riba wakati salio lilikuawepo la kutosha kwanini hawakukata mkopo wote...
  2. Mbulumuka MK

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa hili TANESCO pokeeni maua yangu. Nilitoa taarifa ya tatizo la token za umeme kutoingia kwenye mita yangu mnamo tarehe 04/06 saa 7:26 jioni. Kufikia saa 11:55 usiku fundi wenu alifika nyumbani na kugundua kwamba mita yangu MBOVU. Aliahidi kulitolea taarifa swala langu ofisini ili...
  3. Mbulumuka MK

    JamiiForums Tanzania Naomba Kujua Gharama Mbalimbali za Ujenzi

    Duuh!!! Mkuu ndoo ndogo 30 ni sawa na ndoo kubwa 20, maana yake mchanganyo wako/ratio ni 1:10, hapana hii hata zege chafu/blinding haikidhi.
  4. Mbulumuka MK

    JamiiForums Tanzania Niliwahi kutoa wazo kama hili kwenye mkutano wa kijiji, watu wakaishi kucheka. Sasa natoa mfano!

    Gharama ya kisima bado iko chini sana, sababu kwa ujazo huo wa 1,000,000lt (1000cub mt) unahitaji tank lenye urefu wa 30mt upana wa 15mt na kina cha 2.3mt. Ujenzi wa tank lenye vipimo hivyo unahitaji zaidi ya 130cbm za zege ambazo kila moja si chini ya 200k. Utahitaji zaidi ya tani5 za nondo...
  5. Mbulumuka MK

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mifuko ya simenti mingapi hutumika katika matofali ya kulaza?

    Standard ratio ya kujenga tofali ni 1:3 hiyo ni sawa na ndoo 6 za mchanga kwa mfuko mmoja [ujazo wa mfuko mmoja wa cement ni sawa na ndoo 2 za lita 20] mchanganyiko huo unaweza jenga tofali 50 za kulala na tofali 70 za kusimama kwa mfuko mmoja. Lakini hiyo inaweza kufikiwa ikiwa tu fundi ataweka...
  6. Mbulumuka MK

    JamiiForums Tanzania Gharama za kupaua, wiring na kupiga ripu Dar

    Kwa upande wa paa estimated materials na cost ni kama ifuatavyo: -Bati 90 zenye urefu wa 3mt @28500 (this is according to your choiece i.e 28g araf) -Mbao: Treated 4*2-110pcs za urefu wa>20ft 2*2-60pcs pia za urefu wa 20ft 1*8/10-18pcs zenye urefu wa 12ft NB: futi 1 ya 4*2 ni 980, 2*2 ni 480...
Back
Top Bottom