Mwanazuoni kama wewe ilitakiwa uwe unajua kutofautisha CHADEMA na wanachadema, na washabiki wengineo. Mambo yanafanywa na mashabiki ila unakuja kuchambua taasisi.
Tukiingia kwenye suala la salamu za rambirambi ni kweli ni hiyari ya mtu, lakini kufanya personification ili kuelezea hisia zako...
Tuchukue haya uliyoandika kwamba yote ni sahihi na sawa tumeona kwamba matatizo yote kayaleta yeye.
Yanaondokaje sasa maana yeye alishakufa na katuachia/katuacha.
Tuendelee kumlaumu hadi mwaka 2100 au njia ya kuchomoka ni ipi? Hilo ndilo la msingi kwa sasa.
Ukiona umefikishwa mahali na ukaendelea kubaki hapo manaake wewe ndiye umekubali na umependa uwe hapo.
Alikutoa huko akakufikisha hapo, yeye maono na jukumu lake lishaisha na ashasepa zake, sasa kutoka hapo sisi/wewe mwenyewe upambanie kwenda unapotaka kufika
Itakuwa ngumu kutatua matatizo...
Asante kwa kuelewa.
Hilo ndio swali ambalo inatakiwa tujiulize badala ya kuanza kumlaumu nyerere ambaye amefanya mengi mazuri kwa namna aliyoona inafaa.
Sisi sasa tuboreshe zaidi panapohitajika.
Mimi, wewe na yule tujiulize tumefanya au tunafanya au tufanye nini ili kuhakikisha kunakuwa na...
Mjukuu mpumbavu humlaumu babu yake kwa umasikini alionao na kuukumbatia huyu mjukuu katika maisha yake. Badala ya kuchukua hatua ya kujinasua.
Hii mindset ya kumtupia mtu lawama kwa kushindwa kwako kutimiza wajibu wako inafaa kupigwa vita.
Au unaweza sema misingi ipi imara ambayo ulihitaji...
Coverage tu imekuwa ndogo ila ukifuatilia nao wamo.
HUwezi taja wazalishaji wa mahindi nchini ukaiacha Ruvuma. Ukizungumzia korosho Lindi na Mtwara hazikosekani.
Kwenye Siasa Kuna huyo PM, Naibu waziri wa fedha, Mama kikwete, Late mbunge bwana Bwege(kwa jina maarufu) na wengine kibao. Kuna...
Kwanini wengi hutafuta ithibati ya uwepo wa mungu kwa kutazama uwepo wa mateso na karaha mbalimbali tu na sio starehe na mambo yafurahishayo?
Hicho kitendo cha kuchukia na kuyakataa mateso manaake akili yako ipo vizuri, sasa badala ya kuanza kuuliza kwanini Mungu, basi zama deep kwenye akili...
Tuliopo ground tunaona, kwahiyo wakulima hatudanganywi bali tunajionea inavyokuwa.
Mpunga muda wa mavuno unakuwa 80k hadi 90 kwa gunia.
Ila ikifika kuanzia miezi kadhaa hupanda hadi 120k, nakuendelea.
Nyanya zikijaa sokoni bei ya sanduku au tenga hupungua, hata kwa mangi nyanya za jero...
Kama nayeye anautupa mpira kwa wananchi japokuwa ni inchaji basi ni kweli inapaswa ibadilishwe, inathibitisha uwepo wa pengo kubwa endapo kutahitajika uwajibikaji wa hao mainchaji.
Divai mpya kwenye kiriba cha zamani bado inabaki kuwa ni divai mpya, na hata ukiweka kwenye chupa ya maji itabaki kuwa divai.
Kwahiyo inatazamwa ladha na sio container.
Hiyo ni kwasababu asilimia kubwa ya wanaoenda kupima huwa tayari imeonekana viashiria vya usaliti na mtoto kutokuwa wa baba kwa asilimia kubwa.
Ni sawa na wanaoshitakiwa kwa wizi unakuta 95% watakutwa na hatia ya kuiba, kwasababu hadi kufikia hatua hiyo huwa ni kwenda kuthibitidha tu kisheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.