Recent content by Mbulajee

  1. Mbulajee

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Wewe ndio mwenye uhitaji wa kujua halafu badala ya kutumia mbinu nzuri za kuhoji upewe taarifa unaanza kutoa burden of proof. Hii ni aina gani ya utafiti ndugu. Kiufupi unaamini mwenye taarifa hizo analazimika kukupa wewe taarifa, ndiyo maana nikakuambia unatumia njia isiyo sahihi labda...
  2. Mbulajee

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Sawa tufanye hivi unayoyajua wewe yote yapo sahihi na wanayoyajua wengine ambayo ni tofauti na uyajuayo ni wajinga na hawana mashiko. Mbinu mbovu kabisa ya majadiliano unatumia.
  3. Mbulajee

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Uchawi upo. Hauoni athari zake kwakuwa hakuna kinachowavutia kwako. Au Walishachukua vinavyowahusu kwako bila bughudha hivyo wanajilia au kuvitumia kwa raha zao. Pia unatumia mbinu na njia tofauti na inavyopaswa ili uwajue, hivyo unajikuta unaishia kusema hawapo kitu ambacho wao wanapenda watu...
  4. Mbulajee

    Hivi Nyuki kama hawa wanakuwa wametumwa au ni nini?

    Hiyo ni ishara nzuri. Umetembelewa na ancestors hapo ungekuwa mtu wa Mila ungefanya jambo, au rudi nyumbani ukapate mambo. Ndio maana Kuna meza nyingi ila wamechagua yako tu. Jiulize kwanini. Ila kama hauna pigo hizo na sio mtu wa imani basi hapo wameweka kituo tu, wafurushe waondoke.
  5. Mbulajee

    Msaada wa kisheria kuwapata watoto baada ya kuhitilafiana na baba yao

    Tatizo watoto wakikaa na baba yao, atapata wapi sababu za kupiga vizinga?. Sababu kubwa huwa ni hiyo tu, apate justification ya kuomba huduma mbeleni endapo watatalikiana. Pia kama familia imeunga mkono maamuzi ya mume, manaake mke ana changamoto, ila ameamua kutoziweka.
  6. Mbulajee

    Siwezi kuendelea kunywa kinywaji nikitoka hata kidogo ntaagiza kingine, hili ni tatizo la kisaikolojia ?

    Haujiamini hilo ndilo kubwa, na kwa asilimia ndogo hauwaamini wengine wakuzungukao.
  7. Mbulajee

    Mavazi mnayowavalisha watoto wa kike inaweza kuwa ni sababu moja wapo ya watoto kuwa matom boy

    Hizo tabia hutokana na hemko za akili na sio sababu ya mavazi. Mavazi kama kanzu, joho ni magauni lakini wanavaa wanaume na hawana tabia hizo, kitenge hicho hicho mwanaume anafunga kiunoni na kukiita msuli lakini akivaa mwanamke na uvaaji uleule inakuwa vazi la kike. Maaskari gwanda zao ni...
  8. Mbulajee

    Kwanini kifuani na si sehemu nyingine za mwili wako?

    Hiyo huitwa body language/body gestures. Hii ndio lugha ya awali ambayo kiumbe yeyote huizungumza na ni ngumu kudanganya kwasababu ndio halisia kwa viumbe wote. Huwa haifundishwi namna ya kuzungumza kwasababu ipo wired kwenye ubongo tayari, bali wengi hujifunza namna ya kuielewa. Kushika...
  9. Mbulajee

    Hivi ina maana wachawi hawapo kabisa JF?

    Siku hao unaowaita wachawi wakiamua kusema ukweli wao hadharani inawezekana ikawa ndio kifo Cha hizo imani zinazoaminiwa na wengi. Kwasababu mtajua jinsi gani hizo imani ni project zao za kuwazubaisha, au jinsi gani hazina uzito dhidi yao, yaani zipo chini kiujuzi. Wakisema mtanasuka kwenye...
  10. Mbulajee

    Kupasuka mdomoni

    Haunywi maji ya kutosha. Jitahidi kwenye hilo utamaliza tatizo. Kunywa angalau Lita 2 kwa siku.
  11. Mbulajee

    Uchafu uliokithiri kwa wanaume na wanawake - njooni turekebishane!

    Pesa haipatikani kirahisi lazima ulipie gharama ya umalaya.
  12. Mbulajee

    Je, unaweza kutambua video zilizotengenezwa kwa AI? Shiriki kuthibitisha video hii

    Background imebadilika magari yalikuwa sehemu ya wazi mwanzo mbeleni kukaonekana Kuna miti. Pia background imecheza yaani imekuwa inayumba kama mawimbi ya bahari. Tai anauwawa huku akiwa katulia tuli kama mdoli sekunde za mwishoni hapo. Magari yamebadilika idadi na rangi za magari tofauti...
  13. Mbulajee

    Nadhani viumbe vilivyoko kwenye ulimwengu wa roho hazina kazi ya kufanya ndio maana muda wote wanahaninga na wanadamu

    Ukiona unashughulikiwa kiroho na ukadhurika inakuwa sababu ni upo dhaifu kiroho au umefanya dhuluma fulani hapo unaadhibiwa. Kwahiyo hamna atayeingilia hapo. Labda hadi ujielewe, uende kuhitaji msaada kwa walio imara kiroho endapo sababu ni udhaifu wa kiroho. Au kama ni dhuluma basi tubu au...
  14. Mbulajee

    Nadhani viumbe vilivyoko kwenye ulimwengu wa roho hazina kazi ya kufanya ndio maana muda wote wanahaninga na wanadamu

    Tatizo sio ubize wa mwanadamu, bali tatizo ni uwezekano kuwa mdogo(taaluma duni, kutokuwa na elimu). Ni kama mtoto mdogo anaweza fanyiwa chochote na mtu mzima(mwenye akili) sio kwasababu mtoto yupo bize na mambo yake bali kwasababu hawezi kujilinda na hana akili hiyo, mtoto huhisi mambo...
Back
Top Bottom