Recent content by Mbulajee

  1. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Kwanini wengi hutafuta ithibati ya uwepo wa mungu kwa kutazama uwepo wa mateso na karaha mbalimbali tu na sio starehe na mambo yafurahishayo? Hicho kitendo cha kuchukia na kuyakataa mateso manaake akili yako ipo vizuri, sasa badala ya kuanza kuuliza kwanini Mungu, basi zama deep kwenye akili...
  2. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyewadanganya wakulima kuwa mazao yakiwa mengi lazima bei ishuke?

    Tuliopo ground tunaona, kwahiyo wakulima hatudanganywi bali tunajionea inavyokuwa. Mpunga muda wa mavuno unakuwa 80k hadi 90 kwa gunia. Ila ikifika kuanzia miezi kadhaa hupanda hadi 120k, nakuendelea. Nyanya zikijaa sokoni bei ya sanduku au tenga hupungua, hata kwa mangi nyanya za jero...
  3. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Kama nayeye anautupa mpira kwa wananchi japokuwa ni inchaji basi ni kweli inapaswa ibadilishwe, inathibitisha uwepo wa pengo kubwa endapo kutahitajika uwajibikaji wa hao mainchaji.
  4. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Kilichomkuta kimemkuta lakini kuna jambo alisaidia kuonesha wapi panavuja, inaweza chukua muda ila juhudi zake zitazaa matokeo.
  5. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Divai mpya kwenye kiriba cha zamani bado inabaki kuwa ni divai mpya, na hata ukiweka kwenye chupa ya maji itabaki kuwa divai. Kwahiyo inatazamwa ladha na sio container.
  6. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Gari bovu ili lisukumwe na kuwaka, litaenda kwa urahisi zoezi hilo endapo akipatikana mtu mule ndani akasaidia kutoa handbrake na kushika clutch.
  7. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Ukweli unapaswa kuungwa mkono bila kujali msemaji wa ukweli yupo upande upi. Na hayo ndiyo matumizi sahihi ya akili.
  8. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Balaam: 95% of DNA Tests found Men were not Biological Fathers

    Hiyo ni kwasababu asilimia kubwa ya wanaoenda kupima huwa tayari imeonekana viashiria vya usaliti na mtoto kutokuwa wa baba kwa asilimia kubwa. Ni sawa na wanaoshitakiwa kwa wizi unakuta 95% watakutwa na hatia ya kuiba, kwasababu hadi kufikia hatua hiyo huwa ni kwenda kuthibitidha tu kisheria...
  9. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Kumficha Baba wa Mtoto lila ugomvi ni uamuzi sahihi au la?

    Ingekuwa wanaume sio muhimu ungejipa mimba mwenyewe, kitendo cha kuuliza swali lenye Malengo ya kumtafuta tayari ni wa muhimu, punguza kujikweza.
  10. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Kumficha Baba wa Mtoto lila ugomvi ni uamuzi sahihi au la?

    Hii sio nzuri. Ila kama unaona itakufaa lenga siku ambazo itakuwa upo heat, safiri nenda sehemu usiyoijua na watu usiowajua. Itege kwa mwanaume atayekuwepo aichape wiki au siku tatu sijui Ili upate uhakika kama imeingia kisha rudi zako kwenu. Hapo utaendelea na harakati zako.
  11. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Wakuu kuna dawa gani ya kienyeji ya koo linalouma? Hospitalini napewa tu brufen na anti-biotics ila wapi

    Chemsha chai ya tangawizi iwe kali kidogo changanya na limao. kisha unywe angalau kwa siku tatu. Pata kitunguu swaumu tafuna/meza baada ya kuzikatakata, punje Tano hadi saba. Hii ni nzuri kama hauna tatizo la PRESHA ya kushuka. Pia baada ya kufanya hayo uwe unatafuna hiyo tangawizi au karafuu...
  12. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Tumboni anayefanya mimba ikae ni nyinyi pale mnapofanya ngono. Mimba ikishatunga program itaingiza roho na kuendeleza ukuaji. Ni kama shambani ukipanda mmea lazima uhakikishe magugu na vyote visivyostahili uviondoe na mahitaji muhimu unaweka ndipo mmea ukue vyema. Zile dalili na purukushani...
  13. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Changamoto ni pale tunapotafuta wa kumlaumu kwa kujifariji makosa yetu. Iwe mungu au shetani. kuwa na sehemu za siri au kujua kufanya ngono sio kigezo cha kujiona una elimu ya uzazi, wengi kwasasa wanazaa kwasababu wamekuta wengine wanazaa ni wachache mno wana elimu na huo uzazi. Mtoto...
  14. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Wewe ndio mwenye uhitaji wa kujua halafu badala ya kutumia mbinu nzuri za kuhoji upewe taarifa unaanza kutoa burden of proof. Hii ni aina gani ya utafiti ndugu. Kiufupi unaamini mwenye taarifa hizo analazimika kukupa wewe taarifa, ndiyo maana nikakuambia unatumia njia isiyo sahihi labda...
  15. Mbulajee

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Sawa tufanye hivi unayoyajua wewe yote yapo sahihi na wanayoyajua wengine ambayo ni tofauti na uyajuayo ni wajinga na hawana mashiko. Mbinu mbovu kabisa ya majadiliano unatumia.
Back
Top Bottom