hahaha .ana mzimu huyu..mwanaume gani umsumbue akuandalie sehemu alafu et sivui chup hakuna malaya kama wewe pumbafu na maswali yako yasio na mbele wala nyuma kama wewe.busheet
yaaani ant mwenzio anakuona kama maharage ya mbeya..hivyo kama ulichukua maamuz ya kutoka ni vizuri jipange upya..maana anakuzeesha bure halafu ampendaye yupo
sio arusha tu ni pamoja na sanya juu au wilaya ya hai utawakuta wasiha,singida ,moshi ni sehemu chache wanaopakana na odi mohi,chekereni nk..kwa kweli sio wanawake tu hata wanaume .unaona mtu anaongea na wewe anakutazama mdomoni tu, ila jamani maana mmejua tatizo nini huna haja ya...
jamani tabia ya mtu sio urefu wala ufup unaweza ukawa na huyo mrefu ukaja ukalalamika tena hapa jf cha msingi na cha sekondari mshirikidhe Mungu unapoingia kwenye mahusiano..
hapana usikudhubutu kabisa kurudia matapishi kwani hulka ya mtu haibadiliki na sasa atakukata hiyo shingo maana umesha mwambia una mwanaume naye kahamisha ule upendo kwako yupo na mwanamke mwingine sasa wewe unarud uende wapi ..umaut unakunyemelea hayo mapenzi yako yakizamani sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.