Unamatatizo kweli!umemuona dewji bungeni lini!au umetumwa?yanayosemwa ni kweli boya haingii mjengoni, yuko kibiashara zaidi,kama we umemuona basi hilo ni bunge la wafanya biashara.mnaetaka kumbadilisha na kapuya poa mchukueni bila hata kumtoa kapuya,mtampewa bure maana ni mzigo wa m------,watu...
Nyani akivaa suti kali akaingia kwenye kundi la binadamu hata akijikaza vipi hataweza maana itakua vigumu kuiga kila kitu ambacho si asili yake,watu wakifurahi watacheka na kupiga makofi wakati yeye atapiga kelele na kutikisa mkia wakati kauficha kwenye suti!atahis kagundulika na ataondoka...
Acpokua rais anaweza akafa kwa presha,kwanza atadharaulika zaidi ya sasa maana nguvu anayoionyesha juu ya hili na kubwa mno,pili atahic kua wabaya wake wamemzidi kete na ataona kahujumiwa hata kama sio,kwa maana hiyo mwakiembelizing au kolimbalizing zitaweza kuongezeka na hata rais atakaekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.