Wana JF karibuni singida mje muone tunavopaishwa na mbunge wetu, jamani sisi tumekuwa wapiga kura kwa kula pilau ng'ombe, kupewa t-shirt, kanga na vitenge mpaka lini? CDM makao makuu mwulika mwizi plz plz plz twafwa huku, mbunge anafanya b/ness mpaka nje ya nchi kupitia nafaka za humuhumu ila imebaki kutuletewa zawadi za kitoto kama hizo, mbunge wetu hata kuingia mjengoni sikumbuki ni lini mwenye kumbukumbu sahihi anisaidie. Je huko aliko ndiko tulikomtuma?