Recent content by mbotoki

  1. mbotoki

    Maendeleo ya miradi ya BRT DAR msimamizi yupo?

    Hivi Mradi wa BRT una msimamizi kweli? Vipande vya Magomeni - Ilala Boma. Ilala Boma - Chang'ombe. Chang'ombe - Mgulani. TRL - Badari. Bandari - Uhasibu. Uhasibu - Kwa Aziz Aly. Kwa Aziz Aly - Mbagala Mission. Mbagala Mission - Rangi Tatu. Nimeuliza tu kama kuna usimamizi, na kama usimamizi...
  2. mbotoki

    Nyerere kaleta uhuru Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli hawana cha kukumbukwa labda Samia akitupatia Katiba Mpya

    Hizi teuzi hizi, zinatupeleka pabaya. Eeh mwenyezi Mungu, okoa kizazi hiki.
  3. mbotoki

    Bashiru avuliwe ubunge, apewe ukatibu tawala wa wilaya. Ni wakati sasa watu wajue hii ni Awamu ya Sita

    Mkuu Shida iko wapi? Si mlisema wenyewe kila Mtu ana haki ya kutoa Maoni? Bashiru kasema kidogo sana cha ajabu sukari zimewapanda kwa hali ya juu sana. Naona Manguli na Ma Giant wa CCM mnatumia nguvu kubwa sana kukosoabkauli za Bashiru. Naomba kufahamu, 1)Zina Ukweli? 2)Zina Mashiko? Wengi...
  4. mbotoki

    Wale wa Movies za Kutisha naomba Ushirikiano kidogo hapa

    Salaam. Nimeangalia Movies fulan za Kuogofya, mie kwa upande wangu zinanivutia tu. Zinatisha ila najikuta naangalia zaidi na zaidi, na pale zinapoishi napenda kutazama zaidi. Sasa zilizonigusa zaidi wadau nimeangalia SAW mpaka part (iii) Pia nikaangalia Wrong Turn Mpaka part (iv) Hivi kwa...
  5. mbotoki

    Mwenye ngoma hizi tafadhali

    Thanx Mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mbotoki

    Mwenye ngoma hizi tafadhali

    Habari waungwana. Kwa wale mnaoikumbuka Diamond Sound, ambapo makao yao makuu yalikuwa Mwenge Pale Silent Inn Club. Tafadhali kwa Mwenye Nyimbo zao naomba tupia humu, Nyimbo zao ninazokumbuka ni kama:- Kimalumalu. Chance. Neema. Sebene. Na nyinginezo. Tafadhalini wakubwa, mwenye ngoma naomba...
  7. mbotoki

    Ningekuwa Mbunge wa CHADEMA, ningekuwa nafungasha vilivyo vyangu!

    Aaah Ulomi Mbona povu tena? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mbotoki

    Huyu ni mdudu Tandu? ana madhara gani?

    Mzee baba hili Kama Chaka Hivi. Viumbe wapo wengi sana msituni na Nyikani. Huku kwetu haturyhusu waje, kama wao tu wakituona katika himaya zao. Angalia hapo barazani kwako kwenye dari alaf uwaache hao Madondola (kama unawajua) alaf habri yake utaipata punde. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mbotoki

    Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

    Wadogo zangu Wa Hostel hapo ndio siko lao kubwa boss. Vijana wa ARU na UDSM huwaambii kitu hapo. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mbotoki

    Nifanye mjakazi wako kesho tarehe 28/12/2017 bila malipo

    Hukumuelewa Alisema Anataka kutoa huduma bure ambapo ki kawaida wewe ungeweza kuilipia. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mbotoki

    Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

    Huyu mtoa Mada kamuonea tu jamaa. Ni kweli ana Ving'ora lakini sio vya kutugandisha. Jamaa king'ora chake ni upishe apite dhen unaendelea. Kama mjanja unaunga naye na unatobia. (Nishafanya hivyo mara4) Sema kwa mida hii kwa njia hii hata kama hapiti mtu, folen inakuwa imeshakamata. Akitaka awahi...
  12. mbotoki

    Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

    Alafu Sio Kweli boss. Huyu upitaji wake ni tofauti na wengine. Yeye wala hatugandishi kwenye Foleni. Yeye anaumba njia tu mnampisha kidogo akipita mnaendelea. Sema kwa njia hii kwa Mida hiyo uliyotaja boss unategemea utiririke? Hakikisha kila siku u ayoenda town saa 06:30 upo Mwenge. Uone...
  13. mbotoki

    Tanzania's SGR is of poor quality

    We unaonaje? Kama huyo jamaa yako kaleta hoja ya dhihaka ulitegemea ajibiweje? Hebu nisaidie boss. We huijui vizuri mikenya.(baadhi sio wote) Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom