Mmmmhh mi nasoma kesho nina Mtihani nazani stress inanihusu. Maisha ya chuo walisema bata ila sio kwa course za afya.
course za afya hazijawahi muacha mtu salama. Nipo hapa napambana na hali yangu.
Maombi yenu wakuu nifanye vyema.
Bachelor in Nursing . God bless my career. Amina.
Sent using...
Asee huwezi kugusa mayai ya mwanamke hata uwe na mkuyenge mrefu kiasi gani.
kwa Anatomy ya mwili wa mwanamke ni kwamba ukiwa na mkuyenge mrefu sana utaishia kugusa cervix, yaani shingo ya uzazi. Tusidanganyane mayai kutoka kwenye ovary huwa yanaachiwa na kuingia kwenye mirija fallopian...
Kwa jamii forum ukitaka kubold weka mabano haya [k] kisha Hiyo Hiyo k weka b kisha bila kuacha nafasi andika neno la kwanza mengine yanayofuata yata be bolded
kwakweli binafsi pia nimelima sana na iliniuma sana . Ila kwa ulimwengu wa sasa walimu wanatakiwa kubadilika kwakweli sio kwa mateso hayo kws wanafunzi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.