Kwa ambao hamjakaa sehemu za machimbo ni rahisi kubeza mm kwa ushuhuda wangu wa macho ya nyama nimeshuhudia watu wanaokota pisi ya mll 150,300 na mtu hajui kusoma Wala kuandika kwaio mll 500 sehemu za machimbo sio ajabu
Mkuu huyo jamaa yuko sawa ww ndo hujamwelewa sehemu za machimbo ukikutana na mali watu huita zali la mentali mfano mdogo mm nilikutana na zali la chenga ya mill 7 duniani hapo ni baada ya kuchapika chini huko lakini nikapatia duniani
Aisee Huu mchuano sio wa kukosa haya machama mawili yote yanaonekana kuukamia mchezo
Ukicheki chama la wanna (NUP) dhidi ya wakongwe (NRM) kila mtu yuko na energy na passion.
Hii ngoma naiona haiwezi amuliwa 90a u 120 minutes.
Hii ngoma naiona ikifika penalty
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.