Recent content by Mbondijr

  1. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Je, ushawahi kuumizwa Kama Mimi?

    Aisee yamenikuta nikahisi nipo kwenye njozi ni wiki mbili tu lakini nilikonda kiasi ambacho hata upepo kidogo ukija napepesuka Kiufupi siku moja nimelala usiku naskia simu vuuu, vuuu, vuuu nilikuwa nimeweka vibration kuangalia mama ndio alikuwa anapiga ile kupokea tu hakuna salamu Wala Nini...
  2. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania KERO Wizara ya Kilimo tuambieni wakulima kuwa Tanzania hakuna mbolea tujue moja ila sio kwa mateso haya

    Mkuu wapi huko gunia 52k wakati huku nilipo linasoma 75_80k
  3. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Bado ujachemaa
  4. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Mnahangaika sana kwenda sijui kwa Waganga wa Kienyeji, kufanya Makafara na kwa Wahubiri Matapeli, fanya yafuatayo utabarikiwa hadi kuja Kunishukuru JF

    Mkuu leo umeongea madini matupu ,aisee kumbe nzi akiachaga ujinga anatengeneza asali
  5. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Kwa ambao hamjakaa sehemu za machimbo ni rahisi kubeza mm kwa ushuhuda wangu wa macho ya nyama nimeshuhudia watu wanaokota pisi ya mll 150,300 na mtu hajui kusoma Wala kuandika kwaio mll 500 sehemu za machimbo sio ajabu
  6. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Mkuu huyo jamaa yuko sawa ww ndo hujamwelewa sehemu za machimbo ukikutana na mali watu huita zali la mentali mfano mdogo mm nilikutana na zali la chenga ya mill 7 duniani hapo ni baada ya kuchapika chini huko lakini nikapatia duniani
  7. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Kama unaona mimi ni bahili sana kwenye kutumia pesa zangu, nipe zako ntumie unavotaka

    Aise unakuta mtu anashupaza shingo kabisa jamaa bahili huyu lakini haangalii msoto wako kuwa hela unapataje au unamipango gani
  8. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Lisu kiboka: sikiliza ujasiri wa kuongea na shahidi/ impeachment

    Aisee kenge kama hizo nikuzipita shwaaaa bila kuziangalia lazim ziweke mpira kwapani ukizijibu ni kuzipa attention tu
  9. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Iran - Nchi inayohofiwa zaidi ulimwenguni na Marekani kuliko Taifa lolote lile duniani

    Aiseee nimemisi kuona vile vimondo vya siku 12
  10. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Lissu aruhusiwe kuhudhuria msiba wa Edwin Mtei, mwanzilishi wa CHADEMA

    Kwani kisheria inasemaje kuhusu haki za mahabusu
  11. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania Kwa ubaguzi huu bila Senegal kufanya hivi sisi Wafrika, Sisi Weusi tungepata shida sana. Wametuheshimisha.

    Simba wa teranga wameleta mwanzo mpya aisee haya madudu ya wamuzi yatapungua
  12. Mbondijr

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi wine apamba moto. Je, Museveni ataweza zuia tsunami ya vijana?

    Aisee Huu mchuano sio wa kukosa haya machama mawili yote yanaonekana kuukamia mchezo Ukicheki chama la wanna (NUP) dhidi ya wakongwe (NRM) kila mtu yuko na energy na passion. Hii ngoma naiona haiwezi amuliwa 90a u 120 minutes. Hii ngoma naiona ikifika penalty
Back
Top Bottom