Wakuu tunaendelea lakini mtanisamehe na hayo malalamikko yenu ukweli nilikimbia umande siwezi zaidi ya hapo. Tunaendelea Sasa baada ya kuanza safari usiku ule nikama nilikuwa na gundu, Mana baada ya kufika...
Aisee yamenikuta nikahisi nipo kwenye njozi ni wiki mbili tu lakini nilikonda kiasi ambacho hata upepo kidogo ukija napepesuka
Kiufupi siku moja nimelala usiku naskia simu vuuu, vuuu, vuuu nilikuwa nimeweka vibration kuangalia mama ndio alikuwa anapiga ile kupokea tu hakuna salamu Wala Nini...
Kwa ambao hamjakaa sehemu za machimbo ni rahisi kubeza mm kwa ushuhuda wangu wa macho ya nyama nimeshuhudia watu wanaokota pisi ya mll 150,300 na mtu hajui kusoma Wala kuandika kwaio mll 500 sehemu za machimbo sio ajabu
Mkuu huyo jamaa yuko sawa ww ndo hujamwelewa sehemu za machimbo ukikutana na mali watu huita zali la mentali mfano mdogo mm nilikutana na zali la chenga ya mill 7 duniani hapo ni baada ya kuchapika chini huko lakini nikapatia duniani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.