Recent content by Mbondijr

  1. M

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Kwa ambao hamjakaa sehemu za machimbo ni rahisi kubeza mm kwa ushuhuda wangu wa macho ya nyama nimeshuhudia watu wanaokota pisi ya mll 150,300 na mtu hajui kusoma Wala kuandika kwaio mll 500 sehemu za machimbo sio ajabu
  2. M

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Mkuu huyo jamaa yuko sawa ww ndo hujamwelewa sehemu za machimbo ukikutana na mali watu huita zali la mentali mfano mdogo mm nilikutana na zali la chenga ya mill 7 duniani hapo ni baada ya kuchapika chini huko lakini nikapatia duniani
  3. M

    Kama unaona mimi ni bahili sana kwenye kutumia pesa zangu, nipe zako ntumie unavotaka

    Aise unakuta mtu anashupaza shingo kabisa jamaa bahili huyu lakini haangalii msoto wako kuwa hela unapataje au unamipango gani
  4. M

    Lisu kiboka: sikiliza ujasiri wa kuongea na shahidi/ impeachment

    Aisee kenge kama hizo nikuzipita shwaaaa bila kuziangalia lazim ziweke mpira kwapani ukizijibu ni kuzipa attention tu
  5. M

    Iran - Nchi inayohofiwa zaidi ulimwenguni na Marekani kuliko Taifa lolote lile duniani

    Aiseee nimemisi kuona vile vimondo vya siku 12
  6. M

    Lissu aruhusiwe kuhudhuria msiba wa Edwin Mtei, mwanzilishi wa CHADEMA

    Kwani kisheria inasemaje kuhusu haki za mahabusu
  7. M

    Kwa ubaguzi huu bila Senegal kufanya hivi sisi Wafrika, Sisi Weusi tungepata shida sana. Wametuheshimisha.

    Simba wa teranga wameleta mwanzo mpya aisee haya madudu ya wamuzi yatapungua
  8. M

    Bobi wine apamba moto. Je, Museveni ataweza zuia tsunami ya vijana?

    Aisee Huu mchuano sio wa kukosa haya machama mawili yote yanaonekana kuukamia mchezo Ukicheki chama la wanna (NUP) dhidi ya wakongwe (NRM) kila mtu yuko na energy na passion. Hii ngoma naiona haiwezi amuliwa 90a u 120 minutes. Hii ngoma naiona ikifika penalty
  9. M

    Jiandaeni kumpokea Tundu Lissu muda wowote kuanzia sasa

    Kila mtu hapa jukwaani anaumuhimu wake mkuu
Back
Top Bottom