Recent content by mbomi

  1. mbomi

    Je, kupeana talaka ni hekima? Wanaotalakiana huangalia matokeo yake?

    Uaminifu hakuna ,ndoa nyingi niu unafiki tu
  2. mbomi

    Namna ya kuchangia faini ya Tsh. Milioni 350 waliyohukumiwa kulipa Viongozi wa CHADEMA

    Tulia wewe kawafate hao wanadaiwa Kofi uwaambie ,wacha sisi tuchange ,mbona inakuuma Sana,hawahitaji ata 10 yako afu si lazima Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mbomi

    Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Wewe tulia hao CCM toka 1961 wanajinasibu matajiri bado wanaombaomba misaada wacha muone shoo ya nguvuya Uma,wivu tu unawasumbua Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mbomi

    Naombeni ushauri kidogo wananzengo, nahitaji kuwajua Wanawake wa Kihehe

    Wanavitabia vya kirangi, wakimya muda wote ila mageuzi wanayofanya ukiambiwa huwezi kubali, utasema wanaonewa
  5. mbomi

    Hospitali gani ARUSHA nawezapata vipimo vya Autoimmune deases?

    Habari wadau , msaada kwa anayefahamu hospital nzuri tunapoweza pata vipimo vya Autoimmune kwa mji wa Arusha na wanatumia Bima za Afya.
  6. mbomi

    Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Saga tangawizi changanya na ndizi au parachichi paka kwenye ngozi ya kichwa kaa nayo kwa muda wa nusu saa osha kichwa chako. NB: husipake tangawiz bila kuchanganya na tunda mojawapo hapo itakusababishia maumivu.
  7. mbomi

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wadau habari, nahitaj kufanya biashara ya modern jeans za kike na simple za kike vyenye quality nzur, naomba kufahamishwa chimbo zur kwa kariakoo juu ya hiz bidhaa..
  8. mbomi

    Msaada wa kutafsiri picha hii kwa madaktari hasa wataalamu wa uzazi

    Tafuta dawa za Neolife za uzaz kwa mwanaume
  9. mbomi

    Mfahamu mdudu kunguni (bedbugs) na jinsi ya kumuangamiza

    Tafuta dawa inaitwa DASBA mashule mengi ya boarding wanaitumia kumaliza kunguni, inapatikana kwenye maduka ya pembejeo
  10. mbomi

    Nadiriki sema mtoto wa kike hana faida. Tumtegemee kwa mengine ila si kimsaada kwenye familia yake

    Inategemea huyo mtoto wa kike mmemleaje, kama kalelewa kwenye misingi mizur ya kumthamin kila anyekuja mbele yake faida mtaiona tu
  11. mbomi

    Msaada kuhusu mkoa wa Tabora

    Tabora fata tu kilichokupeleka.... Ukimwi na typhoid vinasumbua.... Na zaid usizoee mabint wa kinyamwez ukizan utawatumia tu usepe hakuna utang'ang'aniwa kiasi cha kusahau kwenu.... Ushirikina ni kipaumbele mkoa ule.... Ila ni wakalimu sana kama ndugu zao wasukuma......... Kuna chuo cha uhaziri...
Back
Top Bottom