Hivi ukiwa ukiwa mbunge wa ccm unasimamiwa na mwanasheria kutoka serikalini ila ukiwa upinzani unatafuta mwanasheria wako kwani hii kesi ni juu ya kafulila na tume ya uchaguzi au ni kesi ya kafulila na mgombea wa ccm naomba kusaidiwa wanajamii
Mama lwakatare kwa ufahamu wangu hiyo nyumba 1.ipo ndani ya eneo la hifadhi ya bajari,hapa mojakwamoja NEMC wanakuhusu 2.umejenga ndani ya mikoko TFS wanakuhusu kwa vyovyote hukwepi kubomolewa maana hata hivyo lukuvi katamka wote mliowekewa x nyumba zitabomolewa kwanza kesi baadae ukishinda...
Sisi wafanyakazi wa mazava tunalipwa tofauti na malipo halari ya serikali tunanyanyasika kazi ngum kipato kidogo....tunahitaji msaada kutoka wizara husika mtutembelee hata siku moja msikilize kero zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.