Hata nyumba yako ikiporomoka kwa tafsiri ya kupata maafa serikali itakujengea nyumba nyingine,siku zote mfuko wa maafa upo standby kwa dharura yeyote,hivyo soko la kariakoo lilipata maafa kwa maana ya kuungua hivyo litajengwa kwa fedha ya maafa na dharura
Force account haimzuii engineer kuomba kazi,kuna tofauti ya engineer na mkandarasi,mkandarasi siyo engineer, force account inahitajika muombaji aoneshe veti vya chuo alicho Soma na uzoefu wa kujenga majengo ya serikali,fundi mangungo mfumo wa force account hauwezi ukampa kazi hana pesa kulipa...
Tusubirie ushahidi tuone,walio toa ushahidi kwa sabaya ni viongozi wa CCM na wanachama wake,upinzani walifura vipi ikiwa mshitaki na mashahidi ni Wana ccm?Mlalamikaji wa kesi ya sabaya ni serikali ya ccm, tutapigana mpaka mbowe awe huru msitake kutuchezea mbuzi wakijani nyiee!!!!
Itapendeza ikitokea issue ya kisiasa mnyukane kwa namna hii baina ya chama na chama,,huko kusaidiwa na jeshi la polisi semeni hapana ni wakati Sasa jeshi la polisi kukaa pembeni na kuwaacha mnyukane kwa hoja,siyo mmoja unamfunga pingu kuwa ni gaidi na haruhusiwi kufanya mkutano hata wandani nyie...
Nimesikia Mwanza viongozi wa chadema wakiongozwa na freeman Mbowe wamekamatwa saa nane za usiku na jeshi la police,
Ukweli ni kwamba jeshi la police na serikali wanashindwa kujua kwa kufanya vile lawama zinaenda kwa mama kuonekana anaendeleza yale tuliyo zoea kwa mwenda zake hivyo kutojitenga...
Wapinzani wamepandishiwa gharama za mafuta ukiende sheli na kadi ya uanacha wa ccm mafuta utauziwa kwa sh 1700 Kama Zambia.
Tozo ya miamala ya CCM haiwahusu wanaccm hiyo ni maalumu kwa wapinzani wanaisoma namba,mwanaccm ukienda kwa wakala ukionesha kadi yako aaah hizo tozo hazikuhusu...
Ni vyema vyama vya upinzani waende mahakamani tuone mahakama itaamua nini kulalamika tu hakusaidii chochote,Kama hawana pesa ya kufungua kesi mahakamani tujulishwe tuchangie
Najiuliza Kama katibu mkuu CCM ametangaza kufanyika mikutano ya hadhara nchi nzima itakayo fanywa na wabunge, madiwani, wenyeviti wa CCM wilaya,kata,vijiji na mitaa,zuio la Rais lilikuwa linawahusu watu gani?
Pia Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM naye anazunguka kiaina kukutana na wananchi na...
Ipo hivi Simba ikiwa inacheza na mwadui FC na Simba ikashinda zomea zomea na maneno mengi yatarushwa kwa Yanga ambao hawahusiki na mechi husika ndivyo hivyo hivyo Yanga ikiwa inacheza na lipuli fc na ikashinda tambo zinapelekwa kwa Simba hali kadhalika wakifungwa tambo zinakuwa hivyo hivyo...
Ivi nyie kipindi hicho mlikuwa watoto? Chukua rasmu ya warioba ambayo ndio maoni ya wananchi halisi na chukua Katiba pendekezwa Soma between the lines utuambie hazifanani kwa kiasi gani na utuambie kilicho andikwa kwenye Katiba pendekezwa ni nini na walipata hizo baraka wapi? Ni wehu tu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.