Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 540
Nimesikia Mwanza viongozi wa chadema wakiongozwa na freeman Mbowe wamekamatwa saa nane za usiku na jeshi la police,
Ukweli ni kwamba jeshi la police na serikali wanashindwa kujua kwa kufanya vile lawama zinaenda kwa mama kuonekana anaendeleza yale tuliyo zoea kwa mwenda zake hivyo kutojitenga na huo udhalimu kwa sababu ccm wao wanazunguka nchi nzima wakisema wanakagua utekelezaji wa ilani na wanafanya mikutano ya hadhara,huu ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia mama nakuomba ujitenge washauri wako wanakudanganya Kama hilo la miamala ya ccm.
Mama hiyo ni hofu tu,unakumbuka maneno ya baba wa taifa kwa mrema mwaka 1995 kuhusu ghari kusukumwa na kubebwa? Police walikuwa wanfanya haya haya ya unyanyasaji bila kujua wanampaisha mrema na Mwl alivyo ona mbali alipiga stop jeshi la police kuingilia kazi za kisiasa za Mrema ghafla graph ya mrema ikashuka ule ufalme ukayeyuka.
Lipo kongamano lilifanyika majuzi segerea ukweli ni kwamba watu wasio wa mtandaoni hawakujua kinacho endelea na mpaka sasa watu hawajui na hawakumbuki kilicho jadiliwa tupo busy na maisha yetu,
Unajua hawa chadema wangeruhusiwa kufanya hako kakongamano kao jumamosi iliyopita jeshi la police lisingekuwa linahangaika na hii kamata kamata yao ya usiku wa manane kwa watu ambao wamelala
Na isitoshi sisi wananchi tunaufahamu juu ya ukweli wa katiba japo mnatufanya Kama mabwege flani hivi tusio na akili
Nauliza viongozi waliokamatwa usiku wa manane na kupelekwa lockup,ivi wakipelekwa mahakamani watafunguliwa mashtaka gani?
Kwamba wanegomea agizo la mkuu wa mkuoa au wamefanya mkusanyiko bila kibali?ikiwa wamekatwa usiku wa manane wakiwa wamelala?
Mama ushauri mwingine siyo mzuri rejea tozo za simu ulivyo kuchafua akili za kuambiwa changanya na zako
Ukweli ni kwamba jeshi la police na serikali wanashindwa kujua kwa kufanya vile lawama zinaenda kwa mama kuonekana anaendeleza yale tuliyo zoea kwa mwenda zake hivyo kutojitenga na huo udhalimu kwa sababu ccm wao wanazunguka nchi nzima wakisema wanakagua utekelezaji wa ilani na wanafanya mikutano ya hadhara,huu ni mwendelezo wa ukandamizaji wa demokrasia mama nakuomba ujitenge washauri wako wanakudanganya Kama hilo la miamala ya ccm.
Mama hiyo ni hofu tu,unakumbuka maneno ya baba wa taifa kwa mrema mwaka 1995 kuhusu ghari kusukumwa na kubebwa? Police walikuwa wanfanya haya haya ya unyanyasaji bila kujua wanampaisha mrema na Mwl alivyo ona mbali alipiga stop jeshi la police kuingilia kazi za kisiasa za Mrema ghafla graph ya mrema ikashuka ule ufalme ukayeyuka.
Lipo kongamano lilifanyika majuzi segerea ukweli ni kwamba watu wasio wa mtandaoni hawakujua kinacho endelea na mpaka sasa watu hawajui na hawakumbuki kilicho jadiliwa tupo busy na maisha yetu,
Unajua hawa chadema wangeruhusiwa kufanya hako kakongamano kao jumamosi iliyopita jeshi la police lisingekuwa linahangaika na hii kamata kamata yao ya usiku wa manane kwa watu ambao wamelala
Na isitoshi sisi wananchi tunaufahamu juu ya ukweli wa katiba japo mnatufanya Kama mabwege flani hivi tusio na akili
Nauliza viongozi waliokamatwa usiku wa manane na kupelekwa lockup,ivi wakipelekwa mahakamani watafunguliwa mashtaka gani?
Kwamba wanegomea agizo la mkuu wa mkuoa au wamefanya mkusanyiko bila kibali?ikiwa wamekatwa usiku wa manane wakiwa wamelala?
Mama ushauri mwingine siyo mzuri rejea tozo za simu ulivyo kuchafua akili za kuambiwa changanya na zako