Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,581
- 46,176
Ujamaa ulizikwa na Mwinyi, sasa tuko kwenye ubepari uchwara.
Si kweli.....
CCM ni imani....
Imani yake bado inaaminiwa na wengi wa watanzania wakawaida kabisa......
Imani zake tatu ni SHOCK ABSORBER ya maisha ya watanzania:
1)Binadamu wote ni sawa.
2)Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
3)Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia sahihi ya kujenga jamii iliyo sawa na huru.
*******************************
Watanzania wanakipenda CCM kwa Sababu HAWAITAKI DEMOKRASIA yenye kuleta UVUNJIFU WA AMANI ,GHASIA ,FUJO ,MAUAJI NA VITA.....
WANA MIFANO MINGI MNO YA KUELEZEA SINTOFAHAMU YA SIASA HASIMU(TUG OF WARS) INAYOPELEKEA UMWAGIKAJI DAMU SEHEMU MBALIMBALI DUNIANI
#SiempreCCM
#SiempreSSH