Recent content by mbogamtosi

  1. M

    Safisha safisha ndani ya UVCCM

    Huyo anacheza na hii serikali.
  2. M

    Ujio wa obama Tanzania - ulinzi wake katika picha

    :llama: siyo Mwigulu tu pamoja na LUCINDE mb wa mtera ni wachochezi kama madem
  3. M

    Hali tete kwa CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015

    :clock: Wewe uliyeandika haya maelezo huna mtazamo wambele kwanza ni mnafiki mkubwa umejuaje kwamba chadema watayumba kwa sababu ya kinana na mangula kafie mbali na hicho chama cha mafisadi
  4. M

    Barua ya Waislamu kwa Katibu Mkuu wa CCM Kupinga Mahakama ya Kadhi...

    Waislam nawaonea huruma elimu hamna,baada ya kujifunza elimu ya dunia mna jifunza lugha za mashetan zitawasaidia nini mtashindana na wakristo mtaweza?
  5. M

    Baba Mzazi wa Mhe. Tundu Antipas Lissu Mughwai afariki dunia jioni ya leo

    pole sana kamanda Lisu mtaalamu wa sheria wa kimataifa Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya mzee wetu.
  6. M

    JENERALI ULIMWENU: CCM sasa yaingiwa woga, yaanzisha utawala wa kikatili kwa wananchi wake

    Police officers and all supporters who adivice you to kill innocent majority, remember one day the authority of leading this country will be on the hand of innocent who you are killing now and prohibiting them to expand their political policies.Thing twice before you do it, where will you...
  7. M

    HOJA MBADALA “Waraka wa wazi kwa viongozi wa CHADEMA”

    Dedan kimath ni mpigania uhuru wa kenya ni mwanaharakati kwa hiyo WANACHADEMA msikate tamaa, juhudi zenu za kupigania haki ni matunda bora kwa kizazi kijacho.Muangalie Dr SLAA na MBOWE Pamoja na wengine unafikiri wanapigania kwa masilahi yao? "MUNGU HUWATEGEMEZA YATIMA NA WAJANE"This is my own...
  8. M

    Mauaji ya Daudi Mwangosi: Ushuhuda wa kilichotokea hadi kifo chake

    mlyalupumi:flypig: CCM wananchi tunaona mnachokifanya hiyo ni alama ya kugiv up.
  9. M

    Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

    :spy: Wewe ni mnafiki tu hamna kitu.
  10. M

    Mnyika hizo kambi za kufundishwa umafia hata mvomero zipo

    :cheer2: :flypig: Hii ni kweli kabisa
  11. M

    PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

    mimi siafiki tume iliyo undwa. :flypig:
  12. M

    Kuvuja siri & kauli ya Msajili vyathibitisha ukweli wa mtonyaji serikalini kuhusu vifo mikutanoni

    By Msuguyumlonje .CCM tambueni kuwa MUNGU yupo aliyeumba mbingu na dunia.Mmeshindwa kugundua kwamba mnamtumikia shetani?
  13. M

    Kuvuja siri & kauli ya Msajili vyathibitisha ukweli wa mtonyaji serikalini kuhusu vifo mikutanoni

    Ni kweli CCM wanakazi ni afadhali wamtangulize MUNGU katika kazi zao kwa maana shetani ameshindwa kwa jina la Yesu .Popote penye ubaya ukweli hujitenga.
Back
Top Bottom