:clock:
Wewe uliyeandika haya maelezo huna mtazamo wambele kwanza ni mnafiki mkubwa umejuaje kwamba chadema watayumba kwa sababu ya kinana na mangula kafie mbali na hicho chama cha mafisadi
Police officers and all supporters who adivice you to kill innocent majority, remember one day the authority of leading this country will be on the hand of innocent who you are killing now and prohibiting them to expand their political policies.Thing twice before you do it, where will you...
Dedan kimath ni mpigania uhuru wa kenya ni mwanaharakati kwa hiyo WANACHADEMA msikate tamaa, juhudi zenu za kupigania haki ni matunda bora kwa kizazi kijacho.Muangalie Dr SLAA na MBOWE Pamoja na wengine unafikiri wanapigania kwa masilahi yao? "MUNGU HUWATEGEMEZA YATIMA NA WAJANE"This is my own...
Ni kweli CCM wanakazi ni afadhali wamtangulize MUNGU katika kazi zao kwa maana shetani ameshindwa kwa jina la Yesu .Popote penye ubaya ukweli hujitenga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.