MKUNGA
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 441
- 71
Gazeti hilo ni la CDM ni kama Uhuru au Mzalendo ya CCM katu hayawezi kwenda kinyume na vyama vyao. mnyika hawezi kurely kwenye Tanzania Daima kwani no judge shall be a judge in his own cause. By the way, magazeti ya siku hizi yanaandika kile mmiliki anachotaka. Mf. utakuta heading inaweza kuongoza katika magazeti hata sita lakini habari hiyo usiikute ktk magazeti mmengine, sababu haiendani na policy ya mmiliki.