Wazo langu: Hivi haiwezekani CHADEMA ikafanya mkutano wa hadhara kwa amani?

Nakubaliana na wewe kuwa si sawa. Ila siku hiyo hiyo wakati POLISI wanauwa mtu Iringa, huko Zanzibar Bububu, kulikuwa na FIESTA nyingine ya uchaguzi........

03.jpg


CCM YAENDA KINYUME NA MARUFUKU YA SENSA
JANA polisi walizuia chadema kufanya mikutano Iringa kwa madai wamezuia mikutano ya siasa kupisha zoezi la sensa lakini wakati huohuo CCM Jana imezindua kampeni Zanzibar kama inavyoenekana pichani. Dkt Bilal Azindua Kampeni Za Uchaguzi Mdogo Wa Jimbo La Bububu-Zanzibar.

From:
Chadema Blog

Kulinganisha Fiesta na mikutano ya siasa sidhani kama sawa.................mtazamo tu.
 
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.

Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?

Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.

Nawasilisha wadau
Hayo maoni yako kwa nini utoe kwa chadema tu?halafu hujiulizi kwa nini polisi wanakataza vyama vya upinzani kila kukicha na si chama tawala?na kwanini polisi watumia nguvu kubwa bila sababu ya msingi?jihoji kwanza
 
Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.

halafu kumbuka m4c hawapo kwa ajili ya kupigana wlikuwa wakitimiza haki yao kisiasa,we aliyekwambia walikuwa wakipigana nani kama sio udaku mtu mzima
 
haingi akilini kuamini kwamba mara zote polisi hawawatendei haki chadema na pia ni ngumu kwa mimi kuamini kwamba chadema wapo sahihi mara zote yaani hawakosei kuna kitu wankipandikiza jamnai tufunguke nilijua mtaniita mimi gamba lakinii huu ndio ukweliambao mimi naudhania
kama ni hivyo sasa ulikuwa unataka nini kama si umbeya mtu mzima,waliokutuma wamechelewa
 
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.

Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?

Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.

Nawasilisha wadau

Mkuu,mimi nimekuwa nikijiuliza swali kama hili,lakini mara zote huwa napata jibu ni "haiwezekani Chadema kufanya mkutano bila kusababisha machafuko". Unajua Watanzania itatuchukua muda sana kuwaelewa hawa wanasiasa sijui tatizo letu ni elimu au ndio umaskini hadi watu wanashindwa kufikiri. Mtu au chama yupo tayari kusababisha damu ya wenzake imwagike,ili tu apate cha kuhubiri kwenye majukwaa ya siasa na kujipatia umaarufu,bado tunashangilia,tunapiga makofi. Na hiki ndio wanachofanya Chadema kwa sasa. Wakikatazwa kufanya mkutano au kuandamana,watalazimisha kufanya hivyo ili yatokee mapambano kati ya raia na polisi. Na wakiruhusiwa kufanya mkutano au kuandamana,watatukana matusi viongozi wa kitaifa,chama kingine au familia zao,ili aidha yatokee mapigano mkutanoni au viongozi wakamatwe waanzishe vurugu. Mtaji mkubwa wa chadema kwa sasa ni damu ya watanzania. Kwa sasa hii ndio approach ya Chadema,labda baadae kama watabadilisha. Hiki ndio Chama cha Demokrasia na maendeleo.
 
UMEANZA vizuri ila mwisho UKAJIFUNUA GAMBA LAKO.

Nani kakuambia POLISI wanaruhusiwa KUZUIA au KURUHUSU Mikutano/Maandamano?

Wao wana taarifiwa tu ili watowe ulinzi na hayo mengine hayawahusu.

Hiyo ndiyo KATIBA YA NCHI kwa sasa. Kama mambo huyajui KAA KIMYA.

HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.

hawa ndo wanasemaga wamesomeshwa na ccm.
 
Swali lilipaswa kuwa Hivi serikali haiwezi kuacha CDM ikafanya mikutano yake kwa utulivu na amani. Ukweli ni kwamba mara zote serikali inapojiingiza katika mikutano hiyo panatokea uvunjifu amani na hata vifo.
 
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.

Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?

Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.

Nawasilisha wadau

Its shame kwamba karne hii kuna watu kama wewe ambao wana mtazamo wa wanashughulikia matokeo ya tatizo na sio chanzo cha tatizo...hii ni typical kwa serikali nyingi za kiafrika.

Kama mtu mwenye access na forum hii ni muhimu kutambua chanzo cha CDM kuzuiwa kufanya mikutano...chanzo cha uvunjifu wa amani ktk mikutano ya CDM? Pia unapaswa kujua role ya polisi katika mikutano ya wazi na taratibu zinazopaswa kufuatwa na wanaoandaa mikutano hiyo. Historia inaonyesha kuwa uvunjifu wa amani ktk nchi husababishwa na vyombo vya dola kama ilivyoshuhudiwa Arusha,
Morogoro, Iringa na kwingineko.

Ni tumaini langu kuwa ukiwa na insight kidogo juu ya hayo maswali basi utakuwa objective zaidi.
 
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.

Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?

Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.

Nawasilisha wadau

hivi WEWE GAMBA tangu uanze kuwaunga mkono wauwaji..ulishawahi kupata faida...VUA GAMBA...
 
ni mkutano upi hata mmoja uliofanyika bila interversion ya police ukazaa fujo?? ni mikutano mingapi imezaa fujo, majeruhi na vifo kutokana na mwingilio wa police ukifanyia kazi haya utaona upuuzi kwenye thread yako!!
 
kuna kitu bado hujakifahamu naamini siku ukijua swali kama hilo utagundua kuwa ni suala la uelewa tu na siku hiyo utajiuliza hivi kweli mimi ndo niliuliza swalikama hili au nilikuwa out of my sense mimi binafsi naamini siyo kosa lako ila tu endelea kutafuta ukweli ipo siku utapata
 
Back
Top Bottom