severence pay..au kiinua mgongo analipwa mtu aliestaafu au alie achishwa kazi kwa sababu ambazo si za kinidhamu yani kustafishwa kwa lazima eg. kupunguzwa kazi.ambayo huwa ni basic pay for seven days times miaka ulivo fanyia kazi isizidi kumi
Nenda dynapham wanadawa asili,nipm pia nkpe namba ya dada mmoja anadawa za india znapunguza vtambi! Kngne kbariana na hali mana uzaz una mambo ikiwa pamoja na kupoteza shape kbsa.
tkiwambia mwende shule mnakasirika, Civil cases hazna mtuhumiwa, ukiitwa mahakamani ukakataa km wewe ni upande wa kesi,kesi inaskilzwa na ktolewa maamuz upande mmoja,pia hakna adhab km hzo kwa uzinz,adhab yake ni fain tu! Hatuwez kuweka kadhcourt coz ktakuwa na mgongano mkubwa,tz c dola ya kiislam!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.