Chuo ganii mtu aki disco anaendelea na masomo??? Inavyofahamika mkopo ni kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo tu, Ukidisco inamaana kwenye Data base za chuo unapotea, hivyo hivyo kwenye database za TCU pia, kila mwaka loan board hupewa muendelezo na TCU, Au ipoje mkuu
ONE point 09, kwa hivyo vyuo asingeweza kupata ata Pharmacy na Nursing ni ngumu kupata,
Maximum Tuition fees ya Loan Board Ni 3ml hii kama umepata 100% unless wawe wamebadilisha,
Kigezo cha kwanza ni C3, Then katika combi yako min uwe na points 10 yaani AAA-CCD, mfano aliyepata Hist D Kisw C Engl C Civ C anaruhusiwa kusom HKL CCD
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.