Hizo nchi ama timu unazoona ni sahihi kwenda samata asingetimiza vigezo ndio maana ukasikia takuma amefaulu vigezo vyote vya kuichezea arsenal ila amekosa kibali cha kufanyia kazi uk. nk
Hali ya kisiasa zanzibar inajulikana siku zote
hujasikia wanaokwenda kumsikiliza raisi wamechukuliwa dar na mapinduzi ll na hujaona bandiko la wafanyakazi kulazimishwa waende uwanjani?
Kuna shemeji yangu nilikua namshauri kama huyu mdada na ikawa ananijibu kama anavyojibu huyu kwamba amekua na anajitambua lakini ndani ya mwaka alishagongwa na visharobaro kama sita hivi tena wawili wlikua ndugu wa damu
Fanya shughuli zako usisubiri hela hizo hata huku kwetu tulihamasiswa tukaambiwa tujiunge vikundi vya watu watanowatano na tukaambiwa itakapotoka ni laki tano kwa kila kikundi
hakuna kilicgoendelea hadi sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.