Recent content by Mbigirichungu

  1. Mbigirichungu

    Fursa ya biashara ya maziwa

    Mkuu vip hii mishe bado unaiendeleza? Maana na ujuzi wakutengeneza bidhaa za maziwa kama mtindi plain na za flavour nipo bunju dsm kama vip tunaeza fanya iyo project yakusindika maziwa maana hapa dsm uhitaji ni mkubwa wa mtindi
  2. Mbigirichungu

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Shukran mkuu kwa kujali matatizo yetu nakuhasisha kwenye hii thread
  3. Mbigirichungu

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Wakuu nimesoma sayansi na technolojia ya chakula (foodscience and technology) SUA.Naomba msaada wa kazi,Internship au volunteer (viwandani,taasisi za serikali au binafsi) vile vile kwa wazalishaji wa chakula viwanda vidogo natoa ushauri na kuwawakilisha kama food scientist
  4. Mbigirichungu

    Ndugu zangu mliosoma masomo yasiyo ya sayansi na mkasoma astashahada stashahada na shahada na hakuna matumaini ya kupata ajira badilikeni msome ufundi

    Mkuu naomba ufafanuzi juu ya hii kozi ya masonry and brick laying hasa inahusisha nin je nitapata kujifunza mambo ya finishing kama za gypsum,kuweka paa na rangi?
Back
Top Bottom