Tatizo watanzania uelewa wenu mdogo kuna viongozi wa chama tawala watakuwepo kwenye hilo janga la ukwepaji kodi sema wamenyamaziwa wa upinzan ndo wanaumbuliwa nashangaa mnaanza kushadadia bila kujua
Cha kwanza huna akili hata kidogo usikosoe dini yoyote bali kosoa matendo yako japo kubadil din ni uamuz wako sasa ushakuwa muislam tenda midhambi yako halafu uone kama mungu atakuacha na uislam wako dini ya kweli ni matendo yako braza ukristo na uislam mbwembwe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.