kwa utawala uliopita siwez kumlaum dr hosea tatizo lilikuwa ni mamlaka ya juu aliweka watu wake sana hakuna ambacho kilikuwa hakijulikan tatizo ni kuamua hata hzo tax avoidance na hayo makontena siyo issue ngen nafkri hata mwenyekiti wa agent association amesema walikuwa wanapeleka taarifa...
tusipende kulaumu tuangalie uchapakazi wa mtu na sifa aliyo kuwa nayo mtu hii inawafundisha ccm wasichague vilaza kuna mkoa mmeutaja wote waliopita hawana hata degree lakin kwenye kura za ndani kulikuwa kuna watu wana phd ila kwakuwa hawakuwa na fedha za kuhonga walishindwa ni bora katiba...
magufuli yuko sahihi ccm kuna wabunge wengi hawana sifa ya kuwa wazir ccm chagueni wagombeq wazur wenye elimu na wasafi mnachagua kwa uwezo wao wa kifedha ndoo maana hata bungen hawana hoja za kuchangia zaid ya kupiga makofi mapungufu ya wabunge kuwa mawazir inaonekana ni.bora mawazr wasiwe...
kufanya kaz kwake kisiwe kigezo cha kuficha alivyokuwa navyo kutaja mali ni takwa la kisheria ni bora akaweka wazi ameingia urais na nini na ametoka na nini nakumbka alikuwa na nyumba ambazo aliipangisha halmashauri aziwekw waz
swala la kulipa shahidi mahakama ndiyo yenye jukum.la kulipa hati ya wito inatolewa na mahakama kutoa ushahid kama hao takukuru watakupa fedha hilo watakuwa wamefanya ubinadam tu lakin mahakama ndiyo inayolipa kwa kesi zote za jinai
tatizo la kwako lisifanywe chuo chote kibaya hayo ni matatizo ya mtu mmojammoja na kila chuo yapo cha kuangalia ni jinsi gani unaweza kuderiver mpaka unatoa fedha inaonekana hata undergraduate ndo ulikuwa mtoko wako
yohana charles nafkiri sio mwenyeji wa mbeya ndoo maana unaunga mkono hoja kwa asilimia zote hujui jiografia, sababu ya kuweka mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi kumtoa mtu kutoka ileje kwenda mkwajuni si sahihi hata kidogo tukumbuke kuwa ileje inapakana na kyela na Rungwe kunabaadhi ya...
Tatzo watanzania hatuwezi kusonga mbele kwa sababu ya kuhurumiana kwa ufisadi ukitaka nenda kamuulize nape kwanini walikosana kwenye ujenzi wa jengo la ujenzi wa vijana tatzo rushwa sasa mnaanza kupigana vikumbo kumsafisha kwani nchi hii ni lowasa tu why
Sio tiss tu na pccb na sehemu zingine lakini nasikia wengine ni mawaziri na ndo mnaowapigia chapuo kuwa maraisi vetting ya bongo ni fedha na kuwa mwanamtandao hata kama huyo mtu atauza nnchi
Watanzania tumezidi mno poroja badala ya matendo tunapenda vitu rahisi kuanzia kwa wapiga kura mpaka viongozi wa juu na hii ndo imetufanya kupata viongozi ambao wanafikiria misaada ndiyo inaweza kutuletea maendeleo. najua viongozi hawalijui hilo kwa sababu hata wasaidizi wa viongozi wa juu ni...
Wasomi wa bongo waoga kazi kujipendekleza ili matumbo yao yashibe sasa hivi wanalalamika rushwa hata kwenye katiba hakuna anayefikiriaizungumzwe hao ni watuhumiwa wa kesho ndo maana wanaogopa chama kingine
kimsingi ndani ya ccm hakuna msafi hata mmoja ni kweli tuhuma anazotoa aeshi si ngeni ni za mda ila hazifanyiwi kazi kwa kuwa ni CCM Lakini hata huyo aeshi naye ni mkwepaji mkubwa sana wa kodi wanaingiza sukari na washirika wake mpaka wa kasesha kutoka zambia bila kulipa kodi hata kupita kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.