kuzitumia kadiri ya lengo la alituumba,kwa mfano unaweza tumia km tahadhar dhid ya kitu coz hii kitu ina mchezo wa kukupa warning,lakini pia kujiponya magonjwa, kuwa mwenye furaha, na kutumia hata kwenye masomo km bado unasoma
Mfano, wapo wanafunzi weng wanasoma soma lakin akiingia exam room...
na ndo maana kna hidhaa nyingi tu za kiswahili ambazo zenyewe hazina matangazo ya kibiashara wala nini,weee unazan wanakupenda sana kukupa habar,kumbe wanataka UFIKIRI km wanavyotaka wao ili uendelee kuwa mtumwa wao,na ndio maana nasema hakuna upumbavu unaitwa uhuru wa vyombo vya habar
hapana mkuu sio mapepo ,ni vitu ambavyo vipo coz hata science inakir kwamba human DNA can be reprogrammed by words and frequency so,pia unaweza ukapona magonjwa kwa maneno tu yalichanganywa na imani na persistence, na hiyo ndio siri inayofichwa na watumishi wengi sana wanaojiita wametumwa na...
fanya iv wakat unaenda kulala,fumba macho kish concentrate kweny pua yak kimya kabisa,kisha unaweza omba unachotaka kimya kimya au kwa maneno ,siyo kwa makelele kipind unaomba Amini kwamba utapata,kwa nn usiku mtu anaweza uliza ivo, kwa sababu akili yak usiku ndio uongea na wewe,au inaweza...
mkuu naomba nikupe assignment moja leo, usiku dk chache kabla ya kulala omba kile unachotaka km ni uponyaj wa ugonjwa au whatever ,amini kwa maana expect to the fullest,kisha lala wah kulala, kesho asubuh ukiaamka tu fany km ulivyofanya last night,kisha endelea na maisha yak ,we kuwa na iman na...
mkuu, sio kama napoteza muda wapo watu wana iyo kitu ila weng hawajajua bad namna ya kuitumia so, nimeandika km kuwaambia tu kuwa wanaweza kuitumia kufanyia vitu mbali mbali km mm ilivyoniponya ulcers
ndo maana mm demu anipende asipende nikichapata nafungua miguu zaid ya bolt wa jamaica,iyo ndo dawa yao maana ukijifanya unajali ndo lazima akulize km ivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.