Jamani natamani ninunue iPhone, ila nakatishwa tamaa na watu wanaoniambia App zake na android haziko compatible.
Mara nitashindwa kushare docs na mtu wa android mara kuna applications ambazo ukiinstals zi akataa.
Naombeni mnaotumia mnisaidie mawazo kabla sijafanya maamuzi ya kunjnua iPhone 12...
Ndugu Pole kwa changamoto hii.
Unapowaza kumfukuza wakati huna kazi utaishije na mtoto?au unamfukuza aondoke na mtoto na wewe urudi kwa wazazi wako.?
Anyway nakushauri tafuta kitu cha kufanya upate walau 500 kwa siku, kazi sio kuajiriwa tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.