Recent content by mbesre

  1. M

    Tetesi: Mkoa wa Mara kugawanywa

    Hayo ni mawazo yako,bado sana mkoa wa Mara ugawanywe
  2. M

    Mbunge wa Singida kaskazini Lazaro Nyalandu na wenzake, wagomea maamuzi ya Mkuu Mkoa Singida

    Kwani makao makuu ikijengua wanakopendele mh Nyalandu hamtakua na maendeleo? Kwanini mnalazimisha uko kwingine?
  3. M

    Nimepiga vigelegele na kushangilia baada ya mume wangu mtarajiwa kupunguzwa kazini! Oh halleluyah!

    Japo kuwa amepunguzwa kazini,uzidi tu kumpenda.pia mkumbushe makosa yake ya nyuma ili akipata kazi tena ajirekebishe.
  4. M

    Naomba msaada, nakabwa na wachawi usiku

    Mweleze yesu tatizo lako atakusaidia.
  5. M

    Mbunge Lema Aweka jiwe la Msingi ujenzi wa hospitali ya mama na mtoto Arusha

    Huyo mkuu wa mkoa ameudhuria ktk kuuweka jiwe la msingi?
  6. M

    Ni marufuku kukatwa mshahara wangu na kupelekwa kwenye mifuko ya jamii

    Kama kuna uwezekano kutojiunga na haya mashirika haya itakuwa vzr sana,kwani ukistaafu au kuachakazi unaambiwa ukae miezi kadha ndipo uchukue mafao yako.na inapomalizika miezi hiyo ukienda utapigwa tarehe wanavyota.swali,kujiunga na haya mashirika ni hiari au ni lazima?
  7. M

    Kauli ya Mwalimu Nyerere ilivyowahi kumponza Tundu Lissu

    Hakika kwa historia hiyo nimeamini umarufu wa mtu huanzia mbali na kwa jambo dogo kama ilivyokuwa kwa Tundu lisu.
  8. M

    Serikali kufungia Asasi za kijamii zinaounga mkono mapenzi ya Jinsia moja

    Naipongeza serikali kwa kuliona hilo nakukikemea kwa nguvu zote,ila wangezitaja tasisi hizo ili sisi wananchi tuzijuwe.
  9. M

    Ukitaka kuchukua uamuzi fikiri kwanza

    Nimeipenda ni elimu tosha.
  10. M

    Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

    Kuhusu excrow umesikia ameshasema nini.
Back
Top Bottom