Kama kuna uwezekano kutojiunga na haya mashirika haya itakuwa vzr sana,kwani ukistaafu au kuachakazi unaambiwa ukae miezi kadha ndipo uchukue mafao yako.na inapomalizika miezi hiyo ukienda utapigwa tarehe wanavyota.swali,kujiunga na haya mashirika ni hiari au ni lazima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.