Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
umejuaje kuwa kinachokukaba ni wachawi??
akil yako imezungushwa kama dawa ya mbu na una kzunguzungu kweliWote ni kitu kimoja kama unavyoweza kuitwa mwalimu au ukaitwa kwa jina lako halisi.
Amkabidhi Yesu, Mungu aliyetoka kwa Mungu, Mwanga kwa Mwanga, Mungu Kweli kwa Mungu Kweli.Maisha yake ampe Yesu au Mwenyezi Mungu?
Mkubwa Mshana njoo huku msaada Kitabu cha Yoshua bin Sira (31:27-29) kinasema: ”Kwa wanadamu mvinyo ni kama maji ya uzima, ukinywa kwa kiasi. Je, anao uzima gani mtu asiye na mvinyo? Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu. Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho, ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha. Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho, na fedheha, na ugomvi.”ako ni muhimu sana hapa.Habari zenu wadau, mimi naomba kujuzwa njia ya kujikinga na hawa wachawi wanaonitesa usiku, yaani unakabwa hadi ukishtuka unaona kichwa hakiko sawa, nimechoka sana na hawa wanga.
Naomba msaada niepukane na hili janga jamani.
akabwa sio abakwaUmejuaje kama wabakwa kila sku
Hao ni popo bawaumejuaje kuwa kinachokukaba ni wachawi??
Popo bawa yuko kizuizini pemba usimpe kesi bure.Hao ni popo bawa
Maweee!Popo bawa yuko kizuizini pemba usimpe kesi bure.
Eee amejuajeakabwa sio abakwa