Recent content by Mbereweta

  1. Mbereweta

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    Katiba mpya ndio inapiga kura ? Suala la msingi ni kujifunza kutokana na makosa na sio kutafuta visingizio. Katiba mpya itafika na uchaguzi utafanyika na wapiga kura ni wale wale. Badilisha mbinu
  2. Mbereweta

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    Inasikitisha ukisema sababu ni jimbo lao maana yake hata uraisi watashinda sababu ni wao wameshinda uchaguzi ulopita. Tuangalie kwa nini wameshinda na kwa nini tumeshindwa.
  3. Mbereweta

    CHADEMA ina washabiki wengi, Haina wapiga kura wengi

    Unachosema ni kweli, sasa hata mimi ndio naelewa kwa nini kuna watu bunge maalum wanadai kura ya wazi. Naamini kungekuwa na kura ya wazi cdm ingeweza kupata picha halisi ya nani ni mshabiki wa kweli. Nionavyo mimi wengi ni wanafiki anakusifia sana lakini akiwa peke yake anampigia mwingine. Pia...
  4. Mbereweta

    Kulikuwa na haraka gani kuhamia digitali wakati d/line ni 2015?

    Lazima mjue haya yaliyojitokeza baada ya kuzima analojia ndi hayo hayo yangetokea 2015. Kwa mtazamo wangu ni bora zaidi kuliko hadi dakika ya mwisho ndio mtu uanze kuhangaika. The earlier; the better
  5. Mbereweta

    Diwani wa kata ya Endamilay (CCM) ajiuzulu

    Akienda ccm kanunuliwa, ila akienda cdm kaamua kwa hiari yake na hapo ndipo mnapojidanganya. subirini muone ila tu matokea yakija msianze oo tumeibiwa ila mkishinda ninyi mmeshinda. Kichekesho
  6. Mbereweta

    Dr.slaa afunguka kuhusu posho - uzalendo wa DK SLAA ukowapi???

    Sio posho tu mkuu aseme anapata mshahara kiasi gani na kodi anakatwa kiasi gani. atuwekee hapo ndio tutamwamini.
  7. Mbereweta

    Kalenga waapa kufa na CCM

    Onyesheni hasira siku ya kupiga kura sio humu ndani. Mpira uwanjani ndio kipimo sio. watu aina hii hawakawii kusingizia refa. Fanya mazoezi ingia kwenye kinyang'anyiro sio kusema wahehe wana hasira, wamekutuma ?
  8. Mbereweta

    Kalenga waapa kufa na CCM

    Ukiona mtu kazidiwa mara nyingi huwa hana pointi ya maana ila ni kuropoka tu. Waache watu wamchague wanayempenda na sio kuropoka mambo usiyoyajua. Tangaza sera hizo ni dalili mbaya za kushindwa kisiasa. Nenda kapumzike uangalie kwa macho na masikio kama huna la maana.
  9. Mbereweta

    Mvurugano Bunge la katiba: CHADEMA yatishia kususia bunge hilo

    Na kama ni upinzani basi walianza CUF, na pia mkae mkijua kunapokuwa na makundi tafauti si rahisi kila kundi kukubaliana na jingine hasa kama kuna mitazamo tafauti. Jambo la muhimu ni kukubaliana na pale ambapo hakuna makubaliano basi ni kutafuta maridhiano na sio kutishanaaaaaaaaaaaaaaaaa kama...
  10. Mbereweta

    Mwigulu Nchemba ndani ya Emmanuel Tv kwa TB Joshua

    Tatizo la watu humu jamvini ni sawa na hadithi ya Nyoka. Wakiambiwa nyoka huyo yuko Morogoro wanasema na apite, nyoka huyo yuko chalinze na apite. basi hadi wasikie nyoka huyo yuko miguuni kwako ndio wanaanza kuhangaika. Inabidi watu humu tusome ishara za nyakati na sio kubeza kila kitu. Huyo...
  11. Mbereweta

    ITV inahujumiwa na startimes?!

    Huu ndio ukweli. fanyeni utafiti kwanza mjue tatizo limeanzia wapi.
  12. Mbereweta

    ITV inahujumiwa na startimes?!

    Mambo mengine ni uzushi wa hali ya juu. Mimi kwangu ITV, EATV, StarTV na nyingine zote nazipata vizuri sana. Hapo mwanzo kulikuwa na tatizo la ITV na StarTv watu walizusha kuwa ITV wanafanya hivyo ili watu waichukie startimes na wanunue digitek kumbe ha hyo haikuwa sawa
  13. Mbereweta

    CHADEMA ni msingi yazua balaa na kizaazaa

    Kadi hata ndoo hazijai maneno meeeeengiii muda utatoa majibu tu
  14. Mbereweta

    Ni kweli kwamba Yanga ni timu ya CCM?

    Kwani hata hapo mwanzo yanga ilikuwa inavaa nguo kama za tanu ama maana mimi hainiingii akilini ama yanga nayo ilianzishwa baada ya ccm ama ndio ilibadili rangi za jezi ? ama tu kwa vile sasa kiongozi mkuu wa nchi anapenda yanga ? angalieni mtawaponza wengi mkihukumu hivyo
Back
Top Bottom