Ni kweli watakufa nayo maana utawala wa machaifu na wafalme ulishakufa tangu wakati wa Mkoloni.....watakufa na Godfrey ambaye hataki kuhoji sababu za kifo cha baba yake ......
Sio kila mtanzania yuko tayari kufa kwa sababu ya CCM...
Chura kawakosesha raha! Maji hayanyweki!!
Hongera wana Kalenga yaani Songela zigizigi wanakalenga! Maana wale watoto 1200 ambao alikuwa anawasomesha Dr Mgimwa sasa watakuwa na uhakika wa kuendelea na shule zao!Ni kauli ya Vijana,wazee na kina mama maeneo mbalimbali ya kalenga. Wanasema ccm haina mpinzani, haina wa kuiyumbisha, watawasikiliza,watawatafakari,watacheka nao lakini hawatawapa kura zao. Wataichagua ccm bila kujali imemsimamisha nani.
my take. Hongera wana kalenga
kuuliza si ujinga , hicho ni chakula gani mkuu ?
Ni kauli ya Vijana,wazee na kina mama maeneo mbalimbali ya kalenga. Wanasema ccm haina mpinzani, haina wa kuiyumbisha, watawasikiliza,watawatafakari,watacheka nao lakini hawatawapa kura zao. Wataichagua ccm bila kujali imemsimamisha nani.
my take. Hongera wana kalenga
Huo utafiti kafanya wapi? mbona kinyume kabisa mimi nipo hapa gumzo ni mwa Mvanda yaani Grace!Unatujua wahehe wewe? Kwanza umetudharau kwa kauli yako isiyp kuwa na maono..kuwa sisi ni mbumbumbu wa kufikiri, hatuna vision ya maendeleo. Nikuuluze swali. Kama tunfependa mgimwa awe mb kwanini tulishawishi wengine waingie kwenye kinyanganyiro. Usidhani sisi hatupendi kila kaya ionje utamu wa madaraka, ..kinacho tupa shida ni kwanini kaya moja angali nasi watoto wetu wamesoma tena,zaidi ya huyo waliyemuwrka. Nikupe siri, sisi wahehe ni watu wa hasira sana, huwa hatusemi ila utaona ikifika.....vantu afi vyachihepa, bee folindile vise ?
Mkuu bado kazi yako pale bavicha ni ileile au ?
Unatujua wahehe wewe? Kwanza umetudharau kwa kauli yako isiyp kuwa na maono..kuwa sisi ni mbumbumbu wa kufikiri, hatuna vision ya maendeleo. Nikuuluze swali. Kama tunfependa mgimwa awe mb kwanini tulishawishi wengine waingie kwenye kinyanganyiro. Usidhani sisi hatupendi kila kaya ionje utamu wa madaraka, ..kinacho tupa shida ni kwanini kaya moja angali nasi watoto wetu wamesoma tena,zaidi ya huyo waliyemuwrka. Nikupe siri, sisi wahehe ni watu wa hasira sana, huwa hatusemi ila utaona ikifika.....vantu afi vyachihepa, bee folindile vise ?
Kwani kunachama cha kushindana na ccm hapa tanzania.
Na sio kila mtanzania yupo tayari kufa kwa ajili ya SACOSS
Ukiona mtu kazidiwa mara nyingi huwa hana pointi ya maana ila ni kuropoka tu. Waache watu wamchague wanayempenda na sio kuropoka mambo usiyoyajua. Tangaza sera hizo ni dalili mbaya za kushindwa kisiasa. Nenda kapumzike uangalie kwa macho na masikio kama huna la maana.Ni kweli watakufa nayo maana utawala wa machaifu na wafalme ulishakufa tangu wakati wa Mkoloni.....watakufa na Godfrey ambaye hataki kuhoji sababu za kifo cha baba yake ......
Mroho wa madaraka wewe.
hakipo mkuu, maana ccm ni chama dola, kinatumia polis,usalama wa taifa, rushwa na hata wizi wa kura! Hakuna kama ccm hapa tanzania!Kwani kunachama cha kushindana na ccm hapa tanzania.