yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Nimekuwa nikisikia habari zinazodai kwamba Yanga ni timu ya CCM,kwa evidence kwamba rangi ya kijani,njano na nyeusi ndo rangi zinazotumiwa na CCM lakin pia hata ktk mechi za Yanga nimekuwa nikisikia mashabiki wa yanga wakishangilia CCM...CCM..CCM.! mara wanapofunga goli..je kuna ukweli wowote juu ya madai hayo?