Recent content by mbenda said

  1. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kufanya hivi kwenye mahusiano?

    Yaani akiwa na madanga yake 4 na kila danga likampa sh 50,000 anakuwa na laki 2, Wanaumeee tujitahidi mwanamke asikugeuze ww sehem ya kitega uchumi.
  2. mbenda said

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Msaada wa haraka wapendwa, mgonjwa wangu anahitaji Upasuaji MOI na familia haina fedha

    Pole,sana, nenda kwenye ofic ya mkuu wa mkoa au mmbunge kuna mfuko wa kuwasaidia watu, ukijieleza vizuli unaweza dhaminiwa hospitall au unaweza lipiwa , Lkn andika usi mwingine uweke vielezo na namba unaweza changiwa hapa
  3. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Hakuna namna CCM itaondoka madarakani kama hali itaendelea hivi

    Katika uchaguzi wowote ule ogopa,sana mtu anaetegemea ushindi nje ya sanduku la kupiga kura, , Uwe uchaguzi wa kisiasa,kidini mpila nk lkn mtu anaetegemea ushindi nje ya sanduku la kupiga kula huyo achana nae
  4. mbenda said

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Wapiga kura, hakikisheni mnapiga kura kwa serikali iliyopo, viongozi mbadala hawana rasilimali za kutekeleza wanayoyaahidi

    Kila kitu unachokiona tanzania kimetokana na utawala wa ccm, Miaka zaid ya hamsini ya uhuru hiji kubwa kama dar bado kuna changamoto ya barabara , Maika hamsini ya uhuru bado hatuna uhakika wa umeme, Hakuna hata sekta moja ya selikali ambayo haina changamoto, Leo hii tumeshondwa kudhibiti...
  5. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Mjukuu anaweza kupata mirathi kutoka kwa wazee wake bila maandishi?

    Mirathi hugawiwa watoto sio wajukuu, hapo labda kuwe na wosia tofayti na hapo hakuna sheri ya ninyi wajukuu kurithi hata kama ni watoto wa kiumeni, yaaani huyo babu yenu ni mzaaa baba ninyi hamna nguvu ya kurith mali
  6. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Taja simulizi 3 bora ulizosoma JamiiForums 2023

    UNIT 15,
  7. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua juu ya biashara kukoboa na kusaga nafaka (mahindi)

    Habarii, biashara ya mashine imegawanyika,sehem mbili, Kuwasagia watu mizigo yao ambayo wao wanakuja nayo wewe unasaga na kuchukua pesa, Au Unasaga mahindi na kuuza sembe, Kama unataka kusaga vipeto vya wateja ninakushauli nunua mashine namba 75 hii ni rafiki sana upate mota hp...
  8. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Maneno tunayotamka kwa kurudia bila kujua

    TIN NUMBE, NENO TIN HII N INAMAANISHA NAMBA,
  9. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Mlimba Morogoro jau sana, ikifika saa 9 jioni haujageuka Ifakara ndio nitolee hadi kesho hiyo!

    Ukikuta sehem kuna noah usipele tata useme unarahisha itakula kwako, Noah inaingia watu 10-15 tata inaingia abilia 40 kwaaana ww mwenye tata utakuwa hauja,I kwenye noa wakifika abilia 12 noah inatembea, mwenye tata uktega ukiwa na abilia 15 ikija noah wanashuka na kupanda noah
  10. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Mnakazana kuchukiana na kutukanana sababu ya Dini bila kujua maisha yanategemeana

    Unaposema wakristo ni waelewa sana ina maana uislam upo kwa ajili ya wakrishto?
  11. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kujizuia kuificha furaha yangu kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya CHADEMA na wafuasi wao.

    Kuna vitu unaweza shabikia kwa sababu unavisikia tu, Lkn kama angetekwa mzazi wako au ndugu yako wa karibu ndio ungejua jinsi gani familia zinapita magumu
  12. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Kwanini TIGO hawamburuzi mahakamani Tundu Lissu kwa kuwaharibia biashara?

    Hii kesi ina muda mrefu sana, Jamaa aliepewa ya kutrak cm ya tundu na kuwapa taarifa watu walihitaji taarifa za lisu kufukuzwa kazi ktk mazingila tatanishi na pia hajalipwa , Sasa hii kesi ilitakiwa iwe nje ya mahakama lkn imeshindikana , Mpka sasa jamaa ametoa ushahidi wote kuhusu hii tukio...
  13. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Wakala wa Voda amedukua laini yangu na kuiba mamilioni

    Kuna haja ya polic kuwaambia makampuni yote ya cm kuwatoa watu wanaosajili line , kusiwe na wakala hata mmoja anesajili line mtaani
  14. mbenda said

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa Habari wa Millard Ayo TV adaiwa kutekwa na kunyaganywa vifaa na wasaidi wa Paul Makonda kisa maandamano

    Unapotoa taarifa kama hizi unatakiwa utaje siku ,kwa maana isije ukawa umetupa taarifa ya zamani kwako ikawa mpya
Back
Top Bottom