KUTANA NA TAMTHILIA BORA ZA KITABIBU/UDAKTARI NCHINI KOREA
1.ROMANTIC DOCTOR TEACHER KIM
Doctor Kim ni Muajiriwa katika kitengo cha upasuaji nchini korea katika hospitali moja maarufu,anaamua kuondoka katika hospitali Huyo baada ya kufukuzwa kwa kile kinachodaiwa ni makosa ya kitabibu...
Aseee pole lkn ungebadili vyuo ujinga wa degree wanatulazimisha kusoma course zisizio na tija maana kupata unachokitaka ni ngumu kama umesoma science nakushaur tafuta diploma ukatulie zako maana hata loan ss hivi ni mzk 11+10 tayar ni watu 21 wanabaki elf kumi BT what if round ya 3 mambo...
TAMTHILIA TATU BORA ZINAZOENDELEA HIVI SASA KOREA
BLACK
Black ni jina la askari mpelelezi ambaye amechukuliwa mwili wake na malaika mtoa roho,ha rim ni msichana mchangamfu mwenye uwezo wa kuona vivuli vya vifo vya watu.Je black na ha rim wanapoungana na kuzuia vifo hivi watafanikiwa?je yapi...
Mwaka huu ameigiza nyng sana huyu crazy dog kuanzia criminal mind akienda kwa jina la riper alikuwa serial killer,strong woman do bong soo akiwa member wa genge la wahuni,while you were sleep prosecuto na hapa black kama crazy dog
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.